Kwa ni nini ujaze midevu usoni wakati sio Jasiri?

TzComedy

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
890
Reaction score
700
Unalikuta njemba limefuga ndevu kama beberu lkn wakimtwanga ngumi mbili tu za pua anatokwa na machozi kama toto la kike!, sasa kuna haja gani ya kufuga ndefu zote hizo? Chozi linapendeza likitiririka kwenye sura laini kama kalio na sio sura yenye madevu pomoni.
 
na wewe kwa nn ujirembe na make up, zigo hilooo! mizinga ndo usiseme, harafu hujui kukatika!
 


Mkuu, tutakiane radhi. Wewe unaongelea wanaume wa Dar na si njemba kama tujuavyo wengi wetu. Vijidume wa Dar ni tata sana na hawastahili kufananishwa na mwanamme yeyote anayejitambua. Asilimia kubwa ya wanaume wa Dar ni dizaini ya Ben Kinyaiya na Martin Kadinda, sasa unategemea nini kwa vijidume kama hawa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawawezi kuja kwenye huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…