kwa nia njema naomba kuwasiliana na dada yeyote alechaguliwa ardh university

kwa nia njema naomba kuwasiliana na dada yeyote alechaguliwa ardh university

nkwilehi

Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
16
Reaction score
4
habarini wanajf mimi ni mkaka nna shida na mdada yeyote ambae amechaguliwa pale chuoni nna mambo mazuri na ya heshima nataka anisaidie. naomba tuwasiliane kwa email, nkwilehii@gmail.com au namba 0653 639214
 
Umetoka kijiji gani ww? Upo form 4 au 3?Sio mdada sema dada au binti,sio mkaka sema kaka au kijana w kiume
 
chuoni utasoma kweli wewe???,yani hata aujafika chuo umeanza kufikiri wadada JIPANGE UTAPOTEA
 
we bure kwel!!! yan unatafuta mdada??? embu futa ujinga wako bhana!!!
 
Wenzio wanawaza kama helsb itawapa mkopo au vp,wewe umebaki kutafuta wanawake?pole lakn!
 
Subiri ukifika chuoni utawakuta,ngono inakusumbua tu
 
kimtokacho mtu, hakika ndio kilichoujaza moyo wake
 
Jamani mtu analilia wembe kwanini msimpe umkate tu?
 
hey JF's why ar u so egocentric to that far? i humbly requested for a contact for such a good will, why do u twist ur mind in that fake idea? naomba namba ili anisaidie kitu cha msingi co ujinga huo mi nna heshima zangu jamani
 
YOUR ARE IN A WRONG TURN KAKA....toka huko...
 
habarini wanajf mimi ni mkaka nna shida na mdada yeyote ambae amechaguliwa pale chuoni nna mambo mazuri na ya heshima nataka anisaidie. naomba tuwasiliane kwa email, nkwilehii@gmail.com au namba 0653 639214

si uende kwenye jukwaa la elimu? huku ni watafutaji wapenzi dogo,
 
Kilaza.......!!!!!!!!!
Nyie ndo wale wale ......!!!
 
0782707060 Joicy Kamhanda mtoto wa Michael Kamhanda RPC wa Iringa nae amechaguliwa huko huko Ardhi University pia chukua 0715202030 Aisha Ramadhani mtoto wa Ramadhani Ighondi wa Usalama wa taifa nae yupo amechaguliwa Ardhi University
 
we bornagain acha uongo, 0715202030 ni namba ya rafiki angu kipenzi anaitwa samson raphael: back kwa hyo mtafutaj hpo juu namshauri aache kutanguliza mdada ktk maisha ya chuo badala ya assignment
 
Back
Top Bottom