Mara baada ya matokeo kutangazwa, nadhani kuna mgombea mmojawapo kati ya hao hataamini matokeo...atazijua tabia halisi za wana Mbeya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji na moto haviwezi kukaa pamoja ..either Maji yatakauka kwa wingi wa moto au moto utazimika kwa wingi wa maji....
Hao wananchi walikaa wapi na wakamtaka agombee?
Wewe ni wa kuhurumiwaKila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya
Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.
Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.
Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.
My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.
Tuipende Tanzania
Tulikupenda sugu ila mungu ametupenda zaidi kutupa tulia ackisoni. Mungu akuweke sugu pema kwenye kufoka kwenye hoteli yako.Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya
Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.
Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.
Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.
My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.
Tuipende Tanzania
asante kwa huu ushahidi solid kwa ajili ya kusaidia mchakato kule TAKUKURU wakati utapowadia.Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya
Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.
Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.
Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.
My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.
Tuipende Tanzania
Mbunge kazi yake kusimamia soko?Sugu ajikite kuendesha hoteli yake ya Desderia, ubunge asahau, ameshindwa kusimamia mpaka soko la mwanjelwa, sugu tumemchoka
Mara mia ungesema yule naibu waziri Wa utumishi, Tulia kwa Mbeya iko kazi, labda aende kwao Rungwe.
Nenda kongwa Na mtera kwa kibajaji waulize.Ccm Ni maharamia tuKama mbeya mnasema sugu kawafanyia makubwa basi mlaaniwe. Mji mbovu sana.
Kwa Mbeya kuweka mwanamama ashindane Na sugu, ccm mnataka kuoga aibu...Kweli Mkuu ni zamu sasa ya kupiga Chini huyu Sugu tumchague mwanamama shupavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau huko hawajaongea upuuzi kama mbeya. Eti sugu kafanya makubwa.Nenda kongwa Na mtera kwa kibajaji waulize.Ccm Ni maharamia tu
Nyumbani kwake Rungwe kapeleka nini?Yeye ni kiongozi wa kitaifa anarudisha fadhila nyumbani
Wana mbeya Wengi sana kila kata wanamtaka agombee ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lin wanasiasa wanafanya makubwa? Mbeya mjini wampitishe Huyo mama agombee. Waone kama atatoboa, wanyaki wachague mwanamama kuwa mbunge, mbaya zaid Wa Rungwe thubutu...Angalau huko hawajaongea upuuzi kama mbeya. Eti sugu kafanya makubwa.
Mbona wamechagua mngoni wa songea?Tangu lin wanasiasa wanafanya makubwa? Mbeya mjini wampitishe Huyo mama agombee. Waone kama atatoboa, wanyaki wachague mwanamama kuwa mbunge, mbaya zaid Wa Rungwe thubutu...
Wapi panastahili kuwa kama Mbeya ilivyosasa?Vumbi la mbeya limekupofua mkuu. Mbeya haistahili kuwa ilivyo sasa.
Masasi.Wapi panastahili kuwa kama Mbeya ilivyosasa?