Kwa nilichokiona Mwanza, kweli Dar kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye chura!

Karibu mwanza rocky city native,, nenda pale makoroboi uone kuku wa kienyeji wanavokatiza,,,


Ila mkoa wa Arusha ndo mkoa ambao hawashoboki na chura,, watu bize kishenzi si vijiweni wala town,
 
Mji ule umejaa wahaya na watu WA asili ya kinyarwanda
 
Lazima iwe hvyo apo mwanza mjin wahaya na wanyarwanda ni zaidi ya 40%
Wahaya sio jamii ya shape nzuri, ni miguu zaidi na hata wanyarwanda ni wageni tu na sio wa maumbile mazuri. Wasukuma ndo kila kitu. Labda huzijui hizo jamii vizuri
 
Wahaya sio jamii ya shape nzuri, ni miguu zaidi na hata wanyarwanda ni wageni tu na sio wa maumbile mazuri. Wasukuma ndo kila kitu. Labda huzijui hizo jamii vizuri
Ahaa wap hujakutana na wasukuma waliokomaa wale waendeshao baiskeli.wahaya na wanyarwanda wanamishepu na wako romantic
 
Ahaa wap hujakutana na wasukuma waliokomaa wale waendeshao baiskeli.wahaya na wanyarwanda wanamishepu na wako romantic
Tafuta mixer ya kinyankole na kirwanda mtoto anashape akikaa kwenye kigoda ana kificha
 
Kwa hili nakata mkuu.....
Mbona YOUNG KILLER hana chura na katokea Mwanza[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Hahaaa!
 
Sio kwwl mkuu.nenda iringa then rudi mwanza ...mwanza kuna mifurushi ya kufa mtu
 
Mkuu nakuunga mkono aisee , nipo hapa mwanza pia ila aah hadi nahis kuchanganyikiwa aibu imenitoka nimekua nafuata fuata tu wamama wenye chura kama mbwa alietelekezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…