GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ukiona anayehojiwa au Kuulizwa Maswali anayajibu kwa Furaha, hatetemeki, anatingisha Miguu yake kama yupo Sebuleni Kwake na Familia yake, hatokwi na Jasho, hapandwi na Hasira mpaka anadiriki kuomba maswali ya Nyongeza huku akiishia Kuwakaribisha Chakula ili mvimbiwe vizuri kwa Uroho wenu jua waliopo ( wanaomuhoji ) ni bure kabisa na anayehojiwa nae ameshawadharau halafu anawamudu pia hawamtishi.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.