BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Niliripoti na kuanza kazi 2008, na nilianza katika shule ya sek Matipwili huko hifadhi ya saadani.
Ilipofika mwaka 2011 ilikua zamu yangu kwenda kusoma na nikahamishwa shule mpya na wakati nilishaomba chuo na mwezi wa8 Deo akanitamkia airisha mwaka na kwangu kufa na Diploma ilikua ngumu.
Nikaenda ila mshahara ukakatwa na mwaka huu nimemaliza Degree ya Elimu na nimerudi kituoni ndio sasa naanza moja kufatilia mshahara.
Hapa nilipo sina hela naishi kwa mateso kanakwamba najuta hata kua nilisomea ualimu ili nini. Nakula ugali na maharage ya wanafunzi na inabidi mana nimefulia vibnaya mno.
Najua wapo wenye moyo wa kunisaidia hata pesa kidogo nisiteseke. Kwa wenye moyo namba yangu ya mpesa ni 0759063942.
Mashallah
Ilipofika mwaka 2011 ilikua zamu yangu kwenda kusoma na nikahamishwa shule mpya na wakati nilishaomba chuo na mwezi wa8 Deo akanitamkia airisha mwaka na kwangu kufa na Diploma ilikua ngumu.
Nikaenda ila mshahara ukakatwa na mwaka huu nimemaliza Degree ya Elimu na nimerudi kituoni ndio sasa naanza moja kufatilia mshahara.
Hapa nilipo sina hela naishi kwa mateso kanakwamba najuta hata kua nilisomea ualimu ili nini. Nakula ugali na maharage ya wanafunzi na inabidi mana nimefulia vibnaya mno.
Najua wapo wenye moyo wa kunisaidia hata pesa kidogo nisiteseke. Kwa wenye moyo namba yangu ya mpesa ni 0759063942.
Mashallah