Kwa nini askari hawaruhusiwi kufuga ndevu??

Kwa nini askari hawaruhusiwi kufuga ndevu??

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
nimekua nikijiuliza kwa nin askari karibia wote hawaruhusiwi kufuga ndevu,na hata stail ya unyoaji wao kichwani ni ya kipekee!!
 
Enzi ya vita ya zamani ukiwa na midevu mirefu ni sawa na sasa kuvaa tai halafu kuutifua ugomvi! utakabwaje?
 
a02_18364617.jpg

Kiwi.jpg
 
Adui anaweza kutumia kama silaha ya kukuumiza kwa kuzivuta...mtazamo tu..
 
Back
Top Bottom