Kwa nini ATC haiongezi ndege ARS/JRO weekend?

Kwa nini ATC haiongezi ndege ARS/JRO weekend?

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Hivi ni kweli hatuna ndege za kufanya safari za ndani?

Nauliza hivyo kwa kuwa, kila wiki Ijumaa hadi Jumatatu huwezi kupata ndege ya Arusha au JRO to Dar labda ukimbizane na hivi vicaravan (C208) vya watu 10 wakati huo huo, ATC inalalamika haina biashara.

Utashangaa vi Caravan zaidi ya 15 vinatoka Arusha to dar/znz kila siku tena kwa bei kubwa huku ATC wamelaza ndege kwenye yadi.

Wangeweka ndege kadhaa za Arusha to DAR direct (wkend) na arusha via JRO to Dar katikati ya wiki. bado mwanza na kigoma na dodoma ni one of the best spot ya Bishara kwa sasa.
Mbona ulaya wana nauli hata za $25/ na hawapati hasara? wanao pata hasara ni kina KQ, SA, nk
 
Mkuu bongo shida sana ,ni Jana nikiona tangazo la bwana swala huko cheka plus nikaamua kumtafuta bwana swala wa Precision air ili nipate uwezekano wa tiketi ya kwenda Mwanza aisee ubabaifu huko WhatsApp Mara hawajibu nikakua hawako serious .

Note:Nilitaka kusafiri kweli mwanzoni mwa mwezi wa Tisa hivyo sio kuwa nilikuwa najaribu alafu suala la hela ya safari naomba nisiulizwe na yeyote .
 
Ningekuwa na nafasi ya kuwashauri,

Ningewaambia wanunue ndege za watu 48 na 78 hivi kwa ajili ya soko la ndani; na kubwa zaidi ya hapo kwa ajili ya soko la nje. Seating capacity hiyo ndio inalipa kwa soko la ndani kwani mikoa mingi haijachangamka hivyo kupeleka ndege kubwa ni hasara
Mbona Mwanza madege ya twiga wetu yanaenda kila siku karibu mara 4
 
Tafuta taarifa ndege zipo labda kama wamesitisha huduma .....
 
Back
Top Bottom