Kwa nini ATM hutoa kadi kabla ya hela?

carcinoma

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2017
Posts
5,059
Reaction score
13,771
umewahi kujiuliza kwa nini ATM hutoa kwanza kadi kabla ya hela??

waliodesign ATM wanajua hulka ya binadamu kwamba akishapata anachotaka anasepaaa...

yan ATM zingekua zinatoa kwanza mshiko kila siku tungesikia kesi za kusahau kadi kwenye vyumba vya ATM..

WANGAPI wangekumbuka kuchukua kadi baada ya kupata mshiko???/
 
Mim natumia Sim bank kuchukua hela kwenye a/c..... Ngoja kesho nikajaribu nilete mrejesho....
 
Pia najiuliza kama fedha zimetoka zimepungua wakati zinatoka kwenye ATM nini cha kufanya?
 
Pia najiuliza kama fedha zimetoka zimepungua wakati zinatoka kwenye ATM nini cha kufanya?
Imekula kwako,,japo sio rahisi sana kutokea maana kam kile kias hakuna kwe ye mashine it means hatuweza kufanya muamala..
 
Kabla hapa Bongo zilikuwa zinatoka hela kwanza, watu wakawa wanasahau mno kadi ndio wakabadili!!!
 
Hivi bado watu wanatumia ATM kuchukua hela. Du. Kwa kweli badilikeni mwende na teknolojia.
 
Transaction inakua inshafanyika so kadi inakua haina matumizi tena after hapo ni pesa kuhesabiwa tu
 
mbona kuna atm zinatoa pesa kwanza ,kadi inatoka ukisha request kuwa umekamilisha transaction
 
Kwa sababu wanajua huwa mnatokwa na ufahamu mkishachukua ela mngekuwa mnabaki maelfu ya ATM kila siku
 
Hapana ni atm card tu zina kimbelembele, kwa sababu nimetoka na wewe nyumbani kukichukua kitu ambacho sikua nacho kwa kimbelembele chako unaanza kujitoa wewe.
Kumbavu.
 
Kuna mtu atakuja atasema serikali ndiyo imesababisha atm zianze kutoka. Serikali imeshindwa kusimamia sera zake na kuunda sera zilizo bora badala yake wanaacha atm zianze kujitoa zenyewe, serikali ijiangalie mara mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…