Kwa nini baadhi wanamke wanatokwa na utando mweupe kama maziwa ya mtindi wakati wa majambozi

Mdogo wangu wewe hujui utamu ukiona hivyo ujue huyo hajatumika sana
 
Kuna haja ya kuanzisha jukwaa la watoto, yaani wawe wanauliza maswali kama haya kule kule na wakubwa watakuwa wanaenda kuwajibu na kurudi huku.
 
Kama haina harufu hiyo inaraha yake na kama utamuweka mkao wa Mbuzi kagoma kwenda, unaweza kudhani upo juu ya Mlima Kilimanjaro kwa theluji itakayotoka hapo.
 
Mods bado anaendelea kufanya coverage ya uchaguzi wa wabunge kule nchini kwao Rwanda, akimaliza atakuja ku muvuzisha huu uzi na kuuweka mahala pake, nzdhani hatasahau kumuonya huyu mvamizi

Nimebobfya kitufe cha report abuse lakini bado tu ujinga huu hupo!
 
Kuna haja ya kuanzisha jukwaa la watoto, yaani wawe wanauliza maswali kama haya kule kule na wakubwa watakuwa wanaenda kuwajibu na kurudi huku.

Hahahaha,umenifurahisha iyo ya jukwaa la watoto,ila mi pia naona humu ndani BOIZ ni wengi sana ndo mana wanasumbua
 
We umesema we n mvulana yaan u are under 8teen?kasome kwanza baba tuachie sisi huo ndio mchezo wetu sisi
 
plz, itifaki izingatiwe, km ni wa 4m 1, bas awe mpole 4m 3 atajua mengi kweny reproduction.
 
Si mutoe elimu jamani, mbona mnatokwa na mapovu utadhani mmetukanwa!!!. Kama hujui au hutaki pita kimya kimya.
 
ushauri ni uache hiyo michezo ya wakubwa na usubiri ukue.
 
Kijana acha kuwachungulia wenzio we kama hudhuriki endelea na mchezo
 
kwa hiyo ukaamua utumie ID zako zote 2 kuanzisha uzi wa kufanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…