mkunyegere
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 453
- 93
Hata mi nimekutana na k2 kama hyo..nashindwa kuelewa!
Mods bado anaendelea kufanya coverage ya uchaguzi wa wabunge kule nchini kwao Rwanda, akimaliza atakuja ku muvuzisha huu uzi na kuuweka mahala pake, nzdhani hatasahau kumuonya huyu mvamizi
Kuna haja ya kuanzisha jukwaa la watoto, yaani wawe wanauliza maswali kama haya kule kule na wakubwa watakuwa wanaenda kuwajibu na kurudi huku.