Kwa nini baadhi ya Wabunge vijana hawataki KUOA au KUOLEWA?

Kwa nini baadhi ya Wabunge vijana hawataki KUOA au KUOLEWA?

HansMaja

Senior Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
104
Reaction score
124
Kuna habari hawa wabunge wanabadili wapenzi kila siku. Wengine tumewasikia wakiwa Ulaya ndio inakuwa sehemu nzuri ya kufanya mambo yao machafu. Hawa wawakilishi wetu tunatarajia wajiheshimu na wawe na maadili ya Kiafrika. Muda kuoa unapofika OA au OLEWA jenga familia.!!
 
Kuna habari hawa wabunge wanabadili wapenzi kila siku. Wengine tumewasikia wakiwa Ulaya ndio inakuwa sehemu nzuri ya kufanya mambo yao machafu. Hawa wawakilishi wetu tunatarajia wajiheshimu na wawe na maadili ya Kiafrika. Muda kuoa unapofika OA au OLEWA jenga familia.!!


Well said. Lakini mkuu kuna muda maalamu ambapo ukifika lazima mtu aoe/aolewe? Muda huo ukipita mtu hawezi oa/olewa?
 
Muda wa kuoa ni upi?Unataka watu waoe kwa lazima kabla hawajajipanga na kua tayari hizo ndoa zikigeuka matatizo utawasaidia?
 
Kuna habari hawa wabunge wanabadili wapenzi kila siku. Wengine tumewasikia wakiwa Ulaya ndio inakuwa sehemu nzuri ya kufanya mambo yao machafu. Hawa wawakilishi wetu tunatarajia wajiheshimu na wawe na maadili ya Kiafrika. Muda kuoa unapofika OA au OLEWA jenga familia.!![/QUO

muda muafaka wa kuoa ni subjective kwa kila mtu,hivyo kuwa mbunge sio lazima eti uoe tu hata kama hujajiandaa kimaisha na kuiandaa akili yako kumpokea mtu mwingine aliye na akili,mawazo,malezi na makuzi tofauti na ww.....kuoa au kuolewa nafikiri si jambo rahisi ki vile
 
wabunge wengine wanapenda ufusika wanaona bora kufanya ufuska ukiwa singo kuliko kufanya ukiwa knye ndoa haileti heshma. hasa wabunge ya kiume
 
Kuna habari hawa wabunge wanabadili wapenzi kila siku. Wengine tumewasikia wakiwa Ulaya ndio inakuwa sehemu nzuri ya kufanya mambo yao machafu. Hawa wawakilishi wetu tunatarajia wajiheshimu na wawe na maadili ya Kiafrika. Muda kuoa unapofika OA au OLEWA jenga familia.!!

me nilidhani umethibitisha kutoka kwao kua hawataki kuoa.kumbe unasikiatu!!
kuoa sio fashen bro. ni maridhiano ya mtu na nafsi yake na yule anaetaka kumwoa/kuolewa nae.na ni mipango inayohitaji mikakati.
 
nani ambae hajaoa au kuolewa mweke hapa tumjue nijuavyo wenge hawajafunga harusi ila wana wake na waume wanaishi nao
 
Kila mtu huoa kwa muda wake na malengo aliyejiwekea.
Kwani ubunge kitu gani!!
Inahusu vipi na mapenzi!
 
Ndoa ni heshima kwasababu ukiwa mheshimiwa haipendezi uonekane with unlawful partners, kuna maitaifa mengine position kama hizi especially for men you need to be settled.
 
Sometimes it's better to be alone than in a bad company. Better even, everyone to be master of his/her deeds than be concerned of what others say. To get married is a responsibilty which you have to be prepared before you decide.
 
Kuna habari hawa wabunge wanabadili wapenzi kila siku. Wengine tumewasikia wakiwa Ulaya ndio inakuwa sehemu nzuri ya kufanya mambo yao machafu. Hawa wawakilishi wetu tunatarajia wajiheshimu na wawe na maadili ya Kiafrika. Muda kuoa unapofika OA au OLEWA jenga familia.!!

Ukweli ni kwamba hao wabunge si material za kuoa au kuolewa. Na hata si swla la muda kufika. Kifupi ni kwamba qualities zao ni za one night stand! Ubunge ni kitu kimoja na maswala ya kuoa/kuolewa ni kitu kingine. Labda kama hufahamu hao wabunge hasa wanawake unaofikiri ni single wengi wameachika ktk ndoa walizojaribu kutengeneza!
 
Ndoa ni heshima kwasababu ukiwa mheshimiwa haipendezi uonekane with unlawful partners, kuna maitaifa mengine position kama hizi especially for men you need to be settled.

Unajuwa Larry King amedivorce mara ngapi? acheni kabisa kukichezea hicho kipengele cha ndoa, ndoa si kupata mume/ mke wa kufanya nae ngono, nop. ndoa ni sereous life commitment, unachaguwa mtu wa kushare naye your intire life. msilete ushabiki kwenye hili kabisa. wapo waliojichuza wakalia. mbona Rais wa France ameoa baada ya kuwa Rais? Mr Sarkozy.
 
Si ndio maana ya kuwa kiongozi kwa hapa Bongo???

Mlikuwa hamjui?? Mbgune mmoja wa jimbo flani ana wake zaidi ya mmoja, ni mkristo na mchungaji wake anafahamu hilo lakini weee, thubutu, hajawahi kutengwa kanisani, maskini ingekuwa mimi, hata kama nimesingiziwa tu...kesho jumapili ungesikia tayari nimetengwa....................
 
kama tumeshaanza kunyoosheana vidole unaoa/olewa lini then tumekwisha!!
hii ndio inaleta a lot of pressure kwa watu wanaishia kufanya maamuzi yasio sahii....
lets take time,kila mtu amind her own buzziness....mtu aoe/aolewe pale anapoona time is right akivurunda then he/she has herself/himself to blame.
 
Back
Top Bottom