Thamani ya eneo ,mfano ,kodi yaeneo la biashara kama petrol station mjini ni 20million kwa mwezi lakini eneo kama hilo nnje ya mji ni 2 milion .
Hio ndio husababisha bei kua kubwa .
Na thamani hupanda kutokana uwepo wa wateja,kwamaana nyengine mjini wateja ni wengi kulinganisha na nnje ya mji.