Mambo ya uongo na uzushi huwa ni hatari sana, nchi nyingi zimeingia katika mapigano na mifarakano kwa ajili ya uongo wa watu wachache.
Ben - verified user hapa JF ameshiriki ku-publisize uongo kuwa eti mkuu wa majeshi (CDF) Gen . Davis Mwamunyange amedhuriwa na serikali inaficha taarifa zake.
Alifika mbali na kuipa serikali siku saba CDF aonekane hadharani. Bahati nzuri kutokana na kazi za kawaida, CDF akawepo katika media hii majuzi.
Sasa huyu Ben, anayefahamika na kutambulika anachukuliwa hatua gani? Sababu kesho atasema ooh, Kamishna wa TRA amedhurika, alikataa kupitisha mizigo fulani.... siku ingine Oooh, Mkuu wa uhamiaji amefanyiwa hiki au kile , na kadhalika.
Hawa ndio watu wanaotuletea tetesi zisizo na chembe ya ukweli na kisha kung'ang'ania kuwa ni kweli. Sometimes tetesi huwa zipo na huhojiwa zithibitishwe, lakini kung'ang'ania tetesi na kuzifanya ni ukweli inapasa tujue alikuwa na lengo gani? Nasema kwa nini Ben asihojiwe?
Mkuu nakubali. Lakini pia nakubali kuna tatizo kubwa kuhusiana na CDF. Kuna vitu ambavyo hata anayeogopa kuviongelea anajua vinaendelea chini ya carpet.Ozzie, tatizo linakuja pale mtu anapokurupuka na kutoa taarifa za uongo ambazo zinaweza kuhatarisha amani, Suppose vijana wangeingia mitaani kudai CDF amedhuriwa, wakafanya fujo na kuumiza watu, nani ni msababishaji?
Wewe tulia usihofu, dawa ya Ben Saanane iko jikoni kabisa. Ngoja serikali ya Ukawa iingie madarakani na kuboresha ofisi ya DPP ili ifanye kazi yake kwa weledi mkubwa na kuchukua hatua. Inaonyesha Ben "anapendwa sana" na utawala huu wa CCM Ndio maana hawamshughulikii kama "unavyopenda wewe"Mambo ya uongo na uzushi huwa ni hatari sana, nchi nyingi zimeingia katika mapigano na mifarakano kwa ajili ya uongo wa watu wachache.
Ben - verified user hapa JF ameshiriki ku-publisize uongo kuwa eti mkuu wa majeshi (CDF) Gen . Davis Mwamunyange amedhuriwa na serikali inaficha taarifa zake.
Alifika mbali na kuipa serikali siku saba CDF aonekane hadharani. Bahati nzuri kutokana na kazi za kawaida, CDF akawepo katika media hii majuzi.
Sasa huyu Ben, anayefahamika na kutambulika anachukuliwa hatua gani? Sababu kesho atasema ooh, Kamishna wa TRA amedhurika, alikataa kupitisha mizigo fulani.... siku ingine Oooh, Mkuu wa uhamiaji amefanyiwa hiki au kile , na kadhalika.
Hawa ndio watu wanaotuletea tetesi zisizo na chembe ya ukweli na kisha kung'ang'ania kuwa ni kweli. Sometimes tetesi huwa zipo na huhojiwa zithibitishwe, lakini kung'ang'ania tetesi na kuzifanya ni ukweli inapasa tujue alikuwa na lengo gani? Nasema kwa nini Ben asihojiwe?
Mkuu nakubali. Lakini pia nakubali kuna tatizo kubwa kuhusiana na CDF. Kuna vitu ambavyo hata anayeogopa kuviongelea anajua vinaendelea chini ya carpet.
Wewe tulia usihofu, dawa ya Ben Saanane iko jikoni kabisa. Ngoja serikali ya Ukawa iingie madarakani na kuboresha ofisi ya DPP ili ifanye kazi yake kwa weledi mkubwa na kuchukua hatua. Inaonyesha Ben "anapendwa sana" na utawala huu wa CCM Ndio maana hawamshughulikii kama "unavyopenda wewe"
DPP huyo mpya atazipitia hata kesi nyingine za jinai zilizokuwa zinafichwa fichwa na utawala huu kwa sababu za kulindana na kujuana juana tuu.
Mleta mada utafurahi na roho yako kwa kazi njema ya Ukawa na huyo Ben we mwache tuu!
Ben Saanane hebu rudi muanze upya hiyo mission kwasababu mmekosea kuanza, umepotea wiki tatu ndiyo waanze kukutafuta siyo familia au ofisini kwako Ufipa wote walikuwa kimya, haiwezekani kwa wadhifa wako wakae kimya siku mbili hawakuoni ofisini, rudi ule Christmas na mwaka mpya ndiyo ucheze hiyo scene ya kupotea.Nimecheka sana