Kwa nini benki za Tanzania hawachangamkii fursa hii?

Kwa nini benki za Tanzania hawachangamkii fursa hii?

winner forever

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
1,094
Reaction score
269
Kumekuwepo na ongezeko kubwa sana la mabenki hapa Tanzania.
Jambo linalonishangaza ni mabenki haya pamoja na wingi wake kushindwa kuwafikia waajiriwa wa serikali na wa sekta binafsi. Asilimia kubwa ya waajiriwa tunahitaji mikopo kwa ajili ya mahitaji mbali mbali. Wafanyakazi wa mabenki wanachojua wao ni kukaa ofisini na kusubiri wateja. Utaratibu wa kusubiri wateja umepitwa na wakati.
Mwishoni mwa Mwaka jana nilikuwa Nairobi na miongoni mwa mambo yaliyonivutia ni jinsi viongozi wa mabenki nchini humo walivyounda mtandao wa uhakika wa utoaji mikopo kwa watumishi wa serikali na sekta binafsi.Mabenki yana link ya moja kwa moja na waajiri. Tafadhali mabenki ya bongo badilikeni,tufuateni waajiriwa huku tulipo.
 
Nani kakwambia hvyo, bank siku hizi ziko na serious marketing departments na zinazungukia wateja hao wote hao
 
mabenki mengi TZ bado mashamba... inaogopa mikopo balaa
 
Nani kakwambia hvyo, bank siku hizi ziko na serious marketing departments na zinazungukia wateja hao wote hao

Una uhakika na usemayo? Labda nikuulize,ulishawahi kuwaona maafisa mikopo kutoka benki yo yote kuja ofisini kwenu ili kuongea na uongozi kwa ajili ya mikopo?
 
Una uhakika na usemayo? Labda nikuulize,ulishawahi kuwaona maafisa mikopo kutoka benki yo yote kuja ofisini kwenu ili kuongea na uongozi kwa ajili ya mikopo?

Wewe upo wapi? Watu wanapata mkopo ofsini bila kufika bank ,ukienda bank unakuta mpunga umejaa ,!!!! Maafisa wa bank wanafuata watu ofisini na wanaongea na mgt pia .Ushahidi Stanbic & Nbc bank
 
Una uhakika na usemayo? Labda nikuulize,ulishawahi kuwaona maafisa mikopo kutoka benki yo yote kuja ofisini kwenu ili kuongea na uongozi kwa ajili ya mikopo?


MKUU KWANI WEWE UNAISHI WAPI? MAANA UNACHOKELEZEA HAPA MPAKA IMEKUWA KERO MAOFISINI! MGT WAMEINGIA MIKATABA NA MABENKI MPAKA WATUMISHI HAWANA TAKE HOME ZOTE YANAKATA MABENKI, KINYUME NA SHERIA ZA BOT SALARY SLIP ZINAFOJIWA MPAKA ALLOWANCE WATU WANAKOPEA MIEZI 60 MBELE! MUNGU WANUSULU WATUMISHI MAANA WENGINE NI OMBA OMBA BAADA YA MIKOPO KWN NO LUNCH, EXCESSIVE EDs etc
 
mabenki mengi TZ bado mashamba... inaogopa mikopo balaa

...teh teh wafanyakazi wa serikali wengi wanavimikopo kuanzia vikundi vya kuzikana,saccoss,majirani na kokote unakojua wanakopesha. mbaya zaidi serikali hailipi madeni na mishahara kwa wakati na hata wakilipa salary slip ina zero balance...? hapo sasaaa...!!
 
MKUU KWANI WEWE UNAISHI WAPI? MAANA UNACHOKELEZEA HAPA MPAKA IMEKUWA KERO MAOFISINI! MGT WAMEINGIA MIKATABA NA MABENKI MPAKA WATUMISHI HAWANA TAKE HOME ZOTE YANAKATA MABENKI, KINYUME NA SHERIA ZA BOT SALARY SLIP ZINAFOJIWA MPAKA ALLOWANCE WATU WANAKOPEA MIEZI 60 MBELE! MUNGU WANUSULU WATUMISHI MAANA WENGINE NI OMBA OMBA BAADA YA MIKOPO KWN NO LUNCH, EXCESSIVE EDs etc
Siyo kweli ndugu,labda wewe unaishi Dar ambapo mabenki yote yamejazana hapo. Huku mikoani tunahitaji mikopo sana ila mabenki yamelala fofo,
 
Wewe upo wapi? Watu wanapata mkopo ofsini bila kufika bank ,ukienda bank unakuta mpunga umejaa ,!!!! Maafisa wa bank wanafuata watu ofisini na wanaongea na mgt pia .Ushahidi Stanbic & Nbc bank
Hapana ndugu,fahamu kuwa Stanbic na NBC banks zipo makao makuu ya mikoa,huku wilayani hali ni tete sana
 
Poleni,sasa inabidi uwafuate mkuu huko mkoani
 
MKUU KWANI WEWE UNAISHI WAPI? MAANA UNACHOKELEZEA HAPA MPAKA IMEKUWA KERO MAOFISINI! MGT WAMEINGIA MIKATABA NA MABENKI MPAKA WATUMISHI HAWANA TAKE HOME ZOTE YANAKATA MABENKI, KINYUME NA SHERIA ZA BOT SALARY SLIP ZINAFOJIWA MPAKA ALLOWANCE WATU WANAKOPEA MIEZI 60 MBELE! MUNGU WANUSULU WATUMISHI MAANA WENGINE NI OMBA OMBA BAADA YA MIKOPO KWN NO LUNCH, EXCESSIVE EDs etc

Acha uongo dar kuna benki za kitapeli tu. Kama boycott , platinum blue easy finance , faidika watu hawa ni hatari sana kwa wafanyakazi
 
Acha uongo dar kuna benki za kitapeli tu. Kama boycott , platinum blue easy finance , faidika watu hawa ni hatari sana kwa wafanyakazi

Hebu nifahamishe vizuri,kumbe Boycott,platinum,blue,easy finance nazo ni benki au ni microfinance?
 
Wewe upo wapi? Watu wanapata mkopo ofsini bila kufika bank ,ukienda bank unakuta mpunga umejaa ,!!!! Maafisa wa bank wanafuata watu ofisini na wanaongea na mgt pia .Ushahidi Stanbic & Nbc bank

Mkuu,kuna hili suala la NMB kugoma kukopesha watumishi eti mpaka mshahara wa mtumishi upitie kwao,na hili limekuja baada ya CRDB kuwazidi kete wakaichukua tenda ya kusambaza mishahara,wamegoma kabisaaaaa kukopesha,mi naona ni upuuzi,ninachojua mkopo hukatwa hazina hukohuko kama inavyokatwa kodi,upumbavu wao eti wamewagomea hata wale wanaotaka ku top up,yaani ni maajabu ya hii benki ya makabwela
 
Mikopo kutoka microfinance(kama jina lake lilivyo) ni midogo sana,ndo maana uzi huu umejielekeza zaidi kwenye mabenki,

Mabenki Mengi hasa NMB wanawabania wafanyakazi kukopa hela nyingi ndio maana wanakimbilia microfinance uchwara na nyonyaji kama boycott na Platnum credit, nenda pale Platnum Credit ya hapo Raha Tower uone walimu, polisi, wanajehi wanaovyolia na utapeli wa liba kubwa, unapewa mkataba ambao haujajazwa kiwango halisi cha makato unakuja kujuta ukiona salary slip, mil2 kwa miaka miwili ni mil 6 upo hapo???!!!
 
Mabenki Mengi hasa NMB wanawabania wafanyakazi kukopa hela nyingi ndio maana wanakimbilia microfinance uchwara na nyonyaji kama boycott na Platnum credit, nenda pale Platnum Credit ya hapo Raha Tower uone walimu, polisi, wanajehi wanaovyolia na utapeli wa liba kubwa, unapewa mkataba ambao haujajazwa kiwango halisi cha makato unakuja kujuta ukiona salary slip, mil2 kwa miaka miwili ni mil 6 upo hapo???!!!

Ni kweli,ndo maana nasema benki zetu hawachangamkii fursa zilizopo. Mfano mimi mwenyewe naweza kukopa hadi Tshs. 25,000,000/= na kuzirejesha bila problem yo yote. Tatizo wanakaa maofisini mwao wanasubiri tuwafuata. Benki za Kenya zipo active sana,wajaribu kuiga kutoka kwao,
 
Back
Top Bottom