Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Democratic Party wana weak candidates na mpaka Bloomberg na hata Hillary anafikiria kugombania tena. Je wewe unafikiri Trump atashinda au ?
Kiufupi ama kiuhalisia US Hakuna Demokrasia Kama Wanayoipigia Chapuo Katika Nchi ZawatuMarekani inaongozwa na kundi la watu wachache sana. Sema wana play smart.
Trump pekee yake hata 3% asinge pata.
Sababu US Hakuna Demokrasia Kama Wanavyoiaminisha DUNIADemocratic Party wana weak candidates na mpaka Bloomberg na hata Hillary anafikiria kugombania tena. Je wewe unafikiri Trump atashinda au ?
Andrww Yang,Ma democrats wameanza kumpiga figisu mapema..Vipi kuhusu Andrew Yang?
Kwa nini asipate?,Zile kura 60+ millions alizopata 2016 zilikuwa fake?..Acheni story za vijiweni.Marekani inaongozwa na kundi la watu wachache sana. Sema wana play smart.
Trump pekee yake hata 3% asinge pata.
Kwa nini hakuna domocracy?.Kiufupi ama kiuhalisia US Hakuna Demokrasia Kama Wanayoipigia Chapuo Katika Nchi Zawatu
Watu wasio na akili kama wewe kufikiria hivi sio kosa lenu, ni akili tu hamna.Sababu US Hakuna Demokrasia Kama Wanavyoiaminisha DUNIA
Ila jamaa yupo smart sana. Nafikiri kuna tofauti kubwa sana ya mmoja kuwa mwanasiasa na mwengine mfanyabiashara.Andrww Yang,Ma democrats wameanza kumpiga figisu mapema..
Sahihi kabisa,demo kwa sasa wanahitaji mtu moderate ambaye anaweza kuwakusanya both conservative and liberals kwa pamoja wakamuelewa..Tatizo wagombea wengi wa Demo are very far Leftists.Walimtegemea Joe Biden lakini saivi naona hana energy tena na haeleweki anasimamia nini hasa.Andrew Yang at least anaweza compete na Trump,au yule dada Ex-Military Tulsi Gabbard,Sema ni mdogo halafu ma dems wanamsingizia ni Russian Spy..Ila jamaa yupo smart sana. Nafikiri kuna tofauti kubwa sana ya mmoja kuwa mwanasiasa na mwengine mfanyabiashara.
Tofauti niliyoiona mfanyabiashara anazungumza facts moja kwa moja na solution. Mwanasiasa maneno mengi. Ndiyo maana Trump wanamgwaya.
Wakimtoa Andrew Yang Trump atapita kiulaini sana. Kwa sababu Andrew Yang ni demo candidate pekee aliyewakusanya watu wa demo na repub...
ExactlySababu US Hakuna Demokrasia Kama Wanavyoiaminisha DUNIA
👍2020 Trump anashinda tena
Trump atashinda.Democratic Party wana weak candidates na mpaka Bloomberg na hata Hillary anafikiria kugombania tena. Je wewe unafikiri Trump atashinda au ?