Kwa nini DP World ya Dubai wako kimya kweye hili suala la mkataba?

Kwa nini DP World ya Dubai wako kimya kweye hili suala la mkataba?

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,768
Reaction score
4,038
Nimekuwa najiuliza hili swali lakini bado sijapata majibu.

Huu mkataba ni baina ya sehemu mbili, The said Tanzania na DP World ya Dubai. Huku Tanzania viongozi wa nchi na CCM wanajitahidi kutotoa ukweli kuhusu huu mkataba, na wameshajiwekea uadui mkubwa na watu wanao oji uhalali wa mkataba.

Vipi upande wa pili wao haliwahusu kutetea hayo makubaliano au?

Hisije ikawa Tanzania inajipendekeza tu kama msichana anayetaka kuolewa kumbe hahitajiki
 
Wako bize

wakifanya nini ndugu yangu, au ndo wanapanga vifungu vya kisheria jinsi ya kuja kutukamua?
1690827455292.png
 
Naona viongozi wanatumia nguvu kubwa sana kuutetea huu mkataba, na zaidi yawezekana ikagharimu damu na maisha ya wanaohoji madhaifu yaliyopo kwenye huu mkataba.
 
Naona viongozi wanatumia nguvu kubwa sana kuutetea huu mkataba, na zaidi yawezekana ikagharimu damu na maisha ya wanaohoji madhaifu yaliyopo kwenye huu mkataba.
Halaf kuna mtu analaani wazung kututawala
 
Back
Top Bottom