mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Nimeshangwazwa na DPP kumsomea mshtakiwa shtaka lake baada ya kupanda kizimbani sikujua ni kipi kimemfanya asimsomee shtaka na kumuacha tena mtuhumiwa kuenda rumande.
Story iko hivi:-
Rafiki yangu alikua na mwanamke wanapendana sana mwanamme alienda kumposa (kumchumbia) ila mama wa mwanamke alikataa na kusababisha kuzirejesha pesa za mahari kwa familia ya kiume.
Mapenzi ya wawili hao hayakuvunjika yaliendelea siku ya tarehe 22/01/2019 mwanaume alimchukua mwanamke na wakaenda wanakokujua kwa ajili ya kuagana kwani mwanaume alikua anasafiri kwenda mbali kidogo kibiashara.
Baada ya kurudi mwanamke kwao aliulizwa kua ulikua wapia akasema ametoka kwa yule mwanaume maka ake alikasirika sana siku ya 23/01/2019 alimchukua mwanawe na kuenda kufungua jalada Polisi la kutoroshwa mtoto wake na kubakwa.
Mtoto alikataa kua hakubakwa ila mama alishikilia msimamo huo na kuenda kumpeleka hospitali kwa ajili ya kufanyiwa vipimo.
18/02/2019 alirudi mwanaume kutoka safari na kukuta taaarifa kutoka kwa mchukba wake kua "mama amenipeleka polisi na ameshashtaki kua umenibaka"
Basi mwanaume aliamua kuwatuma wazazi wake na kuenda kuomba suluhu basi mambo yamefanikiwa wakakubaliana kua waozeshe wawili hao wakafunga ndoa wawili hao 15/04/2019 ndoa ikafanyika.
Baada ya ndoa wameanza maisha yao ya furaha siku ya tarehe 2/05/2019 mwanaume alikuja kuchukuliwa kwake na kupelekwa polisi siku ilioguata alipandishwa mahakama ya wilaya ila hakusomewa shtaka lake kwani mahakama hio haikua na uwezo wa kusikiliza shauri hilo na walimpeleka rumande na tarehe 23/05/2019 alipamdishwa mahakama ya mkoa ila hakusomewa shtaka na DPP alikataa kata kata bila ya kutoa sababu ya kutosoma shtaka hilo.
Sasa jeee kwa nini na haki ipi inayomfanya DPP asisome kesi
Jeee kesi hio inaweza kupata zamana
Baada ya kufika mahakamani kesi ya kutorosha, kubaka ama kuomuondoa msichana chini ya wazazi wake liba dhamana hasa ukizingatia familia ishapitisha suluhi
Story iko hivi:-
Rafiki yangu alikua na mwanamke wanapendana sana mwanamme alienda kumposa (kumchumbia) ila mama wa mwanamke alikataa na kusababisha kuzirejesha pesa za mahari kwa familia ya kiume.
Mapenzi ya wawili hao hayakuvunjika yaliendelea siku ya tarehe 22/01/2019 mwanaume alimchukua mwanamke na wakaenda wanakokujua kwa ajili ya kuagana kwani mwanaume alikua anasafiri kwenda mbali kidogo kibiashara.
Baada ya kurudi mwanamke kwao aliulizwa kua ulikua wapia akasema ametoka kwa yule mwanaume maka ake alikasirika sana siku ya 23/01/2019 alimchukua mwanawe na kuenda kufungua jalada Polisi la kutoroshwa mtoto wake na kubakwa.
Mtoto alikataa kua hakubakwa ila mama alishikilia msimamo huo na kuenda kumpeleka hospitali kwa ajili ya kufanyiwa vipimo.
18/02/2019 alirudi mwanaume kutoka safari na kukuta taaarifa kutoka kwa mchukba wake kua "mama amenipeleka polisi na ameshashtaki kua umenibaka"
Basi mwanaume aliamua kuwatuma wazazi wake na kuenda kuomba suluhu basi mambo yamefanikiwa wakakubaliana kua waozeshe wawili hao wakafunga ndoa wawili hao 15/04/2019 ndoa ikafanyika.
Baada ya ndoa wameanza maisha yao ya furaha siku ya tarehe 2/05/2019 mwanaume alikuja kuchukuliwa kwake na kupelekwa polisi siku ilioguata alipandishwa mahakama ya wilaya ila hakusomewa shtaka lake kwani mahakama hio haikua na uwezo wa kusikiliza shauri hilo na walimpeleka rumande na tarehe 23/05/2019 alipamdishwa mahakama ya mkoa ila hakusomewa shtaka na DPP alikataa kata kata bila ya kutoa sababu ya kutosoma shtaka hilo.
Sasa jeee kwa nini na haki ipi inayomfanya DPP asisome kesi
Jeee kesi hio inaweza kupata zamana
Baada ya kufika mahakamani kesi ya kutorosha, kubaka ama kuomuondoa msichana chini ya wazazi wake liba dhamana hasa ukizingatia familia ishapitisha suluhi