Kwa nini gari yangu kuna muda speedomter inasoma speed tofaut na inapoteza nguvu

Kwa nini gari yangu kuna muda speedomter inasoma speed tofaut na inapoteza nguvu

antipas

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
411
Reaction score
417
Wadau vipi

Mimi nina vits ilikuwa na nguvu sana but hivi majuzi imeanza tabia ya ajabu kuna muda kutoka gear namba 2 kwenda tatu inachelewa

Namba 2 kuna muda usiku unakuta uko speed tu inasoma 0 then all of sudden inaenda 40
Na kuna muda inarudi na nguvu kama kawaida
Pia kuna muda ukiweka mafuta kidogo ikiwa silencer
Inazima
Mtaalam anitafute 0652472486
 
Back
Top Bottom