Kwa nini gari za Honda ni cheap sana?

Honda spea zake ni ghali
Hata Toyota pia, genuine bei iko juu. Kama upo Dar nenda duka la Kisangani, Msimbazi street, kkoo, ulizia shock absorbers za mbele za Toyota RunX, uone kama bei iko chini ya milioni 1. Funga za elfu 50, 50, miezi 2 gari linagongagonga.
 
Hata Toyota pia, genuine bei iko juu. Kama upo Dar nenda duka la Kisangani, Msimbazi street, kkoo, ulizia shock absorbers za mbele za Toyota RunX, uone kama bei iko chini ya milioni 1. Funga za elfu 50, 50, miezi 2 gari linagongagonga.
Ni kweli hata kwenye spea pia wanang'ata na kupuzia..certified dealers toyota motors,nissan motors,mazda n.k wanaweka bei kubwa kwa sababu wanajua huwezi kupata original kwingine
 
Mimi naona kama mazda ni cheap pia..mfano Mazda Tribute ni gari kubwa kubwa ya kufananisha na Harrier au Klugger lakini bei yake na unakuta 14milion wakat hizo nyingine zinaguzlsa 20+milion huko
 
Sababu yakuwa cheap ni wauzaji Wa magari wanacheza na demand ya wanunuzi eg kwa tz Toyota zipo highly demanded kwahiyo bei zake zipo juu kulinganisha na brand zingine kama Mitsubishi, Mazda na isuzu. Hii inatokana watu wameamishwa na mafundi kuwa brand tofauti na Toyota huwa hazidumu
 
Sawa mkuu! Lkn Mimi nilijibu kama mleta mada alivyotaka! Relatively ziko cheaper kulinganisha na Toyota! IST kwa mfano haipungi milioni 12 lkn gari niliyotolea mfano hadi inafka mkononi kwangu nilitumia milioni 9, ikiwa na millage ya 55000km
ulinunua mwaka gani mr django?maana nami nahitaj honda fit?
 
Ninamiliki Honda Fit Aria kwa muda wa mwaka mmoja sasa! Naweza tu kusema ni mojawapo ya magari smooth sana! Ni tamu kuendesha kwa kweli! Na niliinunua kwa "bei cheap" kidogo kulinganisha na magari ya hadhi yake ya Toyota...

Nisogezee mkuu hii gari yako kisha ununue nyingine nzuri na tamu. Mie pesa yangu haitoshi kuagiza nje.
 
Demand mkuu. Used Toyota demand yake ni kubwa ndio maana bei inakuwa juu.
 
Hapana, siuzi boss wangu
Mkuu naona ni muda Sasa unaimiliki hiyo gari na kama kunachangamoto utakuwa umeshazipitia. Naomba ushauri wako nataka ni nunue Honda fit je, ni kweli kwamba kuna changamoto ya spare parts na pia bei zake ni mkasi sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…