Elections 2010 Kwa nini JK asifanye kama Karume kule Z'bar?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888


Nafikiri ingekuwa busara kwa Kikwete kuagwa kama Karume, na pindi akishinda atakaribishwa tena kwa gwaride. Hasipofanya hivi na akashindwa kama atashinda kwenye uchaguzi, basi hana nafasi tena ya kuagwa kwa heshima kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…