Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 21, 2010 #1 Nafikiri ingekuwa busara kwa Kikwete kuagwa kama Karume, na pindi akishinda atakaribishwa tena kwa gwaride. Hasipofanya hivi na akashindwa kama atashinda kwenye uchaguzi, basi hana nafasi tena ya kuagwa kwa heshima kubwa
Nafikiri ingekuwa busara kwa Kikwete kuagwa kama Karume, na pindi akishinda atakaribishwa tena kwa gwaride. Hasipofanya hivi na akashindwa kama atashinda kwenye uchaguzi, basi hana nafasi tena ya kuagwa kwa heshima kubwa