Kwa nini JWTZ wanaweweseka?

Wewe unachobisha nini tarifa za pande za jeshi ni kwamba huyu mtu alikuwa daktari wa mifugo sasa kwenye mifugo kuna nini zaidi ya mbolea na namana ya kuzalisha wanyama tu.

Lakini jeshi hao hao walisema haya hapa



Halafu unatwambia ni mtu wa VET...ebu fafanua.
 
Umemaliza tuendelee na mjadala mwingine maana nyie watoto mnasikia raha kubishana na kakayako KakaKiiza...niambie ili niendelee na mengine!
Kwani maziwa yakiisha mdomoni utanyamanza tu!

Wewe ndio matope kabisa. Ungekuwa na akili japo kidogo tu usingeleta mada mfu kama hii. Unajua nini wewe kuhusu nyaraka za siri na mfumo wa jeshi? Rumour monger tu wewe unadhani kila habari ni udaku tu.
 
Last edited by a moderator:
naomba link yenye habari zaidi kuhusu utorokaji ya huyu luteni kanali.
jibu eti katoroka ni njia tu ya kuipoza familia yake jamaa ilishanyamazishwa milele alidakwa south akiwa njiani kwenda usa zaidi 6month ago pole wanapropanda wa kagame
 
Wewe ndio matope kabisa. Ungekuwa na akili japo kidogo tu usingeleta mada mfu kama hii. Unajua nini wewe kuhusu nyaraka za siri na mfumo wa jeshi? Rumour monger tu wewe unadhani kila habari ni udaku tu.
I wish if could i know your gender!
 
Nasikia siku mabomu ya Gongo la Mboto yalipolipika JWTZ walikimbia na kuogopa kama kifaranga anaetaka kuibiwa na mwewe
Kwahiyo we ulitaka wakae kwakua bomu linaangalia huyu mwanajeshi halitamuua? That was a wise choice to run and save your life,kukimbia sio woga pia ni silaha na inasaidia sana kama unajua kuitumia vizuri. Weldone makamanda kama we ungekua hata koplo ungesimama???
 

Mkuu soma hiyi : https://www.jamiiforums.com/jamii-i...a-ulinzi-usalama-wa-taifa-lt-col-seromba.html
 
kuna tetesi mchizi ni mnyarwanda...kwo kaondoka na taswira halisi ya jeshi...nadhani ndio kisa cha kuwa na wasi wasi...jiulize kwa nini kagame ana kiburi
 
Kama ni IT itakua kaondoka na frash ya mafaili ya vifalu na ndege na idadi ya infants
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…