Kwa nini Katika Hili FIFA/Teams zimeruhusu Ubaguzi wa wazi kabisa? Tupambane kuondoa Ubaguzi Huu.

Kwa nini Katika Hili FIFA/Teams zimeruhusu Ubaguzi wa wazi kabisa? Tupambane kuondoa Ubaguzi Huu.

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Nmewaza tu baada ya kumwona mwanadada mmoja akisakata kabumbu ile mbaya na kuonesha uwezo mkubwa wa kupigwa mikwaju na kutikisa nyavu.

Nikajiuliza kwa nini kuna ubaguzi katika soka?katika ulimwengu huu wa haki sawa kwa nini mchezaji huyu asichanganyike na wanaume kwenye team flan?je sheria zinasemaje katika hili.kwa nini wasiruhusu tu mchanganyiko?

Nataka nipeke hii hoja FIFA. Waanze kuruhusu jambo hili.
 
Kuna mambo mengi hutokea katika mpira.wakati wa kupiga conner lazima wamlukie na kumshikashika sehemu zisizotakiwa n.k. na pia akiscore usitegemee ashangilie peke yake bila teammates kumfuata na kumkumbatia. Kama ni mke wako subiri baada ya muda uletewe mtoto tu.


Siungi mkono hoja!!! Samahani Mkuu GuDume.
 
Mkuu nadhan kina Malta hapa unawazungumzoa ila wanaligi yao ya wanawake and kimwili pia huwezi kumshindanisha na wanaume misuli bado
 
Watoto wako wa kiume wanashare kitanda Na dada zao? kama jibu ni hapana basi ujue ubaguzi upo kote
 
Back
Top Bottom