kwa nini kaweka hivi hapa mbele

pole jamani mbona una jazba hivooooo......
...Usijali dear..Wenyewe wanajua mi ni babu yao sometimes unatafuta jinsi ya kuwakurupusha huko waliko huoni mpaka Balantanda na mioundombinu wametoka mafichoni....
 

Mkuu msamehe bure anaweza kuwa ni mtani wetu tu!
 
..labda hajamaliza kulipa deni... Bora nusu shari kuliko shari kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…