Kwa nini Keny Wanatumia Asilimia tofauti

Kwa nini Keny Wanatumia Asilimia tofauti

mimi43

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
410
Reaction score
422
Leo nilikuwa naangalia habari KTN lakini niliona kiswahili kilichonifanya nifikirie.

Kwenye habari yenyewe ni kwamba pale walipotaka kutangaza idadi ya vitu katika @Percentage walikuwa hawasemi..asilimia 5 au asilimia 70 au asilimia 23

wenyewe walikuwa wanasema Asili 5 au Asili 70 au Asili 23

Je ni kiswahili sahihi au ni utaratibu wao
 
Leo nilikuwa naangalia habari KTN lakini niliona kiswahili kilichonifanya nifikirie.

Kwenye habari yenyewe ni kwamba pale walipotaka kutangaza idadi ya vitu katika @Percentage walikuwa hawasemi..asilimia 5 au asilimia 70 au asilimia 23

wenyewe walikuwa wanasema Asili 5 au Asili 70 au Asili 23

Je ni kiswahili sahihi au ni utaratibu wao
Hao nao wanajua kiswahili bwana!
 
Usahihi ni asilimia,hilo neno asili lina maana nyingine kabisa tofauti na neno asilimia,asili kwa kiingereza ni nature.
 
Back
Top Bottom