Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
mmh haya ngoja nikapate msosi kwanza............kofia??????????
kofia ipi ya kichwa si yavuliwa au yakatwa???
Hii ni kwa afya yako.Inapunguza pia maambukizi? we vipi???????Unatakiwa kuwashukuru wazazi kwa kuliona hilo ili wasije kosa mtoto ndio maana waliondoa hiyo kofia
Maambukizi niyapate wapi, wakati wa kuoga? Nataka 'kakofia' kangu.
:washing:Wapaswa kuikunja kwa mbele
Wapaswa kuikunja kwa mbele
jf kuna visa vya aina yake.
Kuna mtu keshawahi kutaka afundishwe namna ya kuondoa ubatizo manake hakubatizwa kwa ridhaa yake, wazee walimlazimisha!
Leo nasikia kofia.....mmmh
acha kuniongezea hasira. Dini unaweza kubadili, kakofia utakapata wapi tena?
kashaija shukuru tu ilivyokatwa,imekupunguzia maradhi.mbona na kucha unakata na hulalamiki?
Kucha zinaota, kwani 'kakofia' kanaota? Mbona marehemu AKUKU amefariki na miaka 94 na wake 100 akiwa na 'kakofia' kake?
hiii umeishika kakofia ee kakofia eee,,,kanunue kwani si zimejaa tele madukanii mi sikuelewi bwanaaa...
Nilham Rashed, usichojua nini? Kofia ya 'ngozi ya mtu' nitaipata wapi? CHUNYA? Tafadhali usinizidishe uchungu!
nsamehe???