Mara nyingi nimekutana na wanawake wakiwa na alama ya love bite aidha shingoni,shavuni,kwenye paji la uso n.k
hii inamaana wanaume huwa hawawapigi busu wapenzi wao? Mbona kwa wanaume si sana na sijawahi kuona, au ndio tuseme wanawake ni walaini zaidi?