Kwa nini lakini???

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Mara nyingi nimekutana na wanawake wakiwa na alama ya love bite aidha shingoni,shavuni,kwenye paji la uso n.k
hii inamaana wanaume huwa hawawapigi busu wapenzi wao? Mbona kwa wanaume si sana na sijawahi kuona, au ndio tuseme wanawake ni walaini zaidi?
 
Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!
 
Rangi inachangia pia...wanawake wengi wanangozi ya rangi moja ya karoti hahaha so lovebite kuonekana ni rahisi kuliko wanaume na rangi zao za kahawia
 
Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!

heshima yako mkuu. nlikumiss sana ndg yangu. nakuona leo upo kwenye malavidavi ukiulizia jinsia, hahahahaaaa...!!!. mia
 
Sio love bite hiyo itakua mbu wamewatafuna au mkorogo wakati wakujisugua...
 
Wewe mwanamke au mwanaume?Nina sababu ya kukuuliza hili,kama unaweza nijibu!

huwezi kuuliza swali juu ya swali au na wewe umekuwa kama wale akina ...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…