Kwa nini ma-house girls wengi wananawili na kupendeza kuliko wamama wenye nyumba?

Kwa nini ma-house girls wengi wananawili na kupendeza kuliko wamama wenye nyumba?

Dumelambegu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,052
Reaction score
257
Jamani,
Mnakubaliana na hoja hiyo na kama ndiyo, sababu yake ni nini??
 
Mkuu inaelekea unawatamani sana ma hg wako kama sio kuwa du kabisa.
Kunawiri nisababu ya kutoka kwao kwenye hali duni na kuja kwenye unafuu ukizingatia idara ya jikoni wanaishikilia wao.
Natatizwa na unaposema wananawiri kuliko mama wenye nyumba
 
Wao wanakula milo yote ya home chai chakula mchana uji wa watoto maziwa ya watoto na dinner.wife anakula dinner tuu home muda mwingi anakula vyakula vya barabarani!pia wife ana mawazo,hgirl hana mawazo mazito!vipi mzee amenawiri sana unataka mpa promotion housegirl wako?
 
Mkuu inaelekea unawatamani sana ma hg wako kama sio kuwa du kabisa.
Kunawiri nisababu ya kutoka kwao kwenye hali duni na kuja kwenye unafuu ukizingatia idara ya jikoni wanaishikilia wao.
Natatizwa na unaposema wananawiri kuliko mama wenye nyumba

Mzee miye sijaoa bado ila nikitembelea nyumba za jamaa na marafiki zangu duu, ukimwona house girl mapigo ya moyo yanapanda na kushuka. Lakini mama mwenye nyumba unaona kimyaaaaaa. Probably, it is just something pyschological.
 
heheehehehe wanywa uji wa watoto na maziwa ya watoto,,,,,, hilo na mie nakuunga mkono wallah... kweli kabisa.... nahisi ndio sababu...
Wao wanakula milo yote ya home chai chakula mchana uji wa watoto maziwa ya watoto na dinner.wife anakula dinner tuu home muda mwingi anakula vyakula vya barabarani!pia wife ana mawazo,hgirl hana mawazo mazito!vipi mzee amenawiri sana unataka mpa promotion housegirl wako?
 
Kwa mazingira ya kazi yao ni lazima wawe hivyo.Kwanza hawana mawazo sana kama mama mwenye nyumba.Pili ndo wanaopika muda mwingi so anaweza kula anachotaka na muda wowote ule. Pia ile hali ya kubadilisha mazingira au life style.
Mama mwenye nyumba mara nyingi anafikiria juu ya familia sijui ada ya watoto mara sijui mzee ana small haouse and so on. Pia kwa maisha kama ya Dar ambapo unaamka saa 10 alfajiri na kurudi saa 3 usiku definately afya itadhurika maana hata kula anashindwa. Unanunua vitu unajaza kwenye freji lakini wanaofaidi ni watoto including maids.
 
Wao wanakula milo yote ya home chai chakula mchana uji wa watoto maziwa ya watoto na dinner.wife anakula dinner tuu home muda mwingi anakula vyakula vya barabarani!pia wife ana mawazo,hgirl hana mawazo mazito!vipi mzee amenawiri sana unataka mpa promotion housegirl wako?

hapo kwenye maziwa ya watoto pako ambigous kidogo. fafanua tafadhali.
 
mnh kama umeanza kujiuliza haya ujue ndoa yako iko/itakuwa mashakani.....:twitch:
 
sasa wasinawiri kwa nini?
kwani wapo utumwani?
 
Wao wanakula milo yote ya home chai chakula mchana uji wa watoto maziwa ya watoto na dinner.wife anakula dinner tuu home muda mwingi anakula vyakula vya barabarani!pia wife ana mawazo,hgirl hana mawazo mazito!vipi mzee amenawiri sana unataka mpa promotion housegirl wako?

Hapana! Si kwa sababu ya kula vizuri tu. Bali ni kwa sababu ya umri wao. Wengi wao hawajafikisha miaka 18 kwa hiyo miaka hiyo ndo miaka ya mwili kupata rutuba na kunawiri. Mama mwenye nyumba mara nyingi yuko kwenye late 20s au 30s na zaidi kesha zaa. Mwili unakuwa umefikia kilele cha usichana. Hata akinawiri hatawaka kama wakati wa usichana wake. Usichana ni kipindi cha pekee cha kila msichana kuonekana mzuri hata kama hana uzuri wa pekee.
 
Yaa kama mimi kwangu tangu nimenunua samani za bei mbaya sijawahi hata kukalia zaidi !ya mara 2 kwa mwezi,achilia mbali hiyo remote control ya TV yangu kuigusa!!
Kila kukicha naambiwa maziwa yamekwisha(maziwa ya watoto)cha ajabu namuona HG anapendeeeeza na kunawiri!anyway sio mbaya kama na wewe unataka kufaidi kaa nyumbani!kawe HG sehemu fulani!!
Vipi kuhusu ma house BOY?
 
Kazi anazofanya ni mazoezi tosha ya kuufanya mwili upendeze.
Hg anagonga milo yote hadi ya ziada.
Kama yupo sharp anapata muda mzuri wa kupumzika,
huwa hawawazi future hata kidogo. Kula kulala kujicream ndio mwisho wao wa mchezo.
Kama mama hana gubu na baba hana kale katabia ndio toto linazidi kupendeza.
 
Kula kulala... hawana chochote wanachowaza cha kuwafanya wachakae

You are being unfair mkuu!

Kwa uzoefu wangu especially hapa kwetu TZ....Hawa wanaamka kabla ya mtu yeyote ndani ya nyumba na wanakuwa wa mwisho kulala. Ni watu wanaotumwa kama punda ndani ya nyumba. Tajiri akisharudi home..inakuwa kama jehanamu..infact wengine...hata chakula wanakula 'familia'ikishamaliza! Na how much are they being paid? You guessed right. Sidhani bongo kama kuna watu wanafanya kazi kwa suluba kama wafanyakazi wa ndani..ukiuliza kwanini analipwa elfu kumi au ishirini..utapewa nonsense zote..anakula kwangu..anavaa kwa gharama zangu nk.....as if yeye alitoka kijijini kula kwako....jamani kazi za ndani ni kama kazi nyinginezo! Change should begin with us....tusiwe tunaipigia kelele serikali tuu..wakati sisi tukipata wa kuwakandamiza..we do worse than serikali..

To me, hawa watu wanapata mda kama mama/baba mwenye nyumba hayupo..otherwise its hell.

Jamani nawaombeni..kwa wale ambao hatuangalii maslahi ya hawa watu.....tujitahidi kuwatreat hawa watu kwa huruma na tuwalipe vizuri..maana na wao wana familia zinawategemea....its a shame wewe unapata mshahara wa laki tano unaona haukutoshi....mwenzio unampa elfu kumi na tano....yet anakufulia...anaogesha watoto..anapika, anafagia..duh kuna kazi zaidi ya hizo? perhaps hata anayefanya ofisini hachoki kiasi hicho...
 
Kazi anazofanya ni mazoezi tosha ya kuufanya mwili upendeze.
Hg anagonga milo yote hadi ya ziada.
Kama yupo sharp anapata muda mzuri wa kupumzika,
huwa hawawazi future hata kidogo. Kula kulala kujicream ndio mwisho wao wa mchezo.
Kama mama hana gubu na baba hana kale katabia ndio toto linazidi kupendeza.

Hapo kwenye red, katabia gani katamfanya HG asipendeze ?
 
Mkuu kunawili ni kuridhika.......
Therefore inategemea na ambition au target yako..., kwahiyo hata wewe ukiona kwamba hapa am okay and am doing well utanawili..., lakini kama bado unaona haitoshi na unastruggle for more then kunawili ni vigumu...., I mean kama ambition yako ni kuwa kama Bill Gates, hata utakapomfikia Rostam bado hautanawili.

Its all about brain and power over matter.., ukiiambia akili kwamba moto ni barafu basi hata ukishika moto hautaungua....
 
Back
Top Bottom