Kwa nini maduka yetu mjini yafungwe saa 11 au 12??

Umetumwa na majambazi.
Sio bure.
Pale kariakoo kuna maduka yanaingiza mpaka mil 10 kwa siku
Afunge duka SAA 4 usiku hajitaki?
Yaani ukae na mamilioni yote hayo hadi usiku.
 
 
Hili wazo lako liweze kutekelezeka ni ueleze mbinu itakayotumika katika kuhakikisha usalama wa wateja na wafanyabiashara kwa ujumla.

La sivyo wazo lako halitekelezeki.
 
Safety and security purposes. Ila kwa sehemu kama Mlimani city au Shamo complex au Kibo komplex Au Qulity plaza na centre inawezekana ila sahau kuhusu kko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…