KERO Kwa nini mafundi wa TANESCO mmeacha nyaya chini kama zinavyoonekana kwenye picha?

KERO Kwa nini mafundi wa TANESCO mmeacha nyaya chini kama zinavyoonekana kwenye picha?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Nimerudi kazini umeme hamna,
Watoto wanasema mafundi wa TANESCO walikuja kufungua nyaya kwenye nyumba ya jirani (tunashea nguzo) kisha wakaziacha chini kama hivi kwenye picha.

Wakasepa zao , nimepiga simu na kuwatumia TANESCO whatsap wakanipa kumbukumbu namba kisha baada ya dakika mbili wanasema tatizo langu limeshughulikiwa!!

Mpaka sasa tuko giza na hizi waya hapa ni njia yetu ya kupita na watoto wanacheza hapo nje.

##########
Mrejesho:
Majira ya 23:50 tanesco walifika na kurekebisha,
Nadhani baada ya kelele nyingi

IMG-20240719-WA0026.jpeg
IMG-20240719-WA0024.jpeg
IMG-20240719-WA0022.jpeg
 
Hii nchi ina kila aina ya vituko kwenye mambo ya msingi aiseeee...🤨
 
Warudishe umeme sasa sisi tunakaa giza hadi sasa kwa upuuzi wa kukusanya waya
Huku walifanya hivi hivi, lakini umeme ulikuwepo WALIPOMALIZA KAZI. Wanapozitoa wanakuwa busy kurudisha mpya ili umeme uweze kuwaka wanapofunga kazi kwa siku hiyo.
kama wamezma umeme, then that is very bad
 
Ngoja wasiogopa umeme wapite nazo...
 
Siku hizi wanaringa na nyaya zao.vipande wanavitupa tu.ili mradi uingie tamaaa uvibebe wakukamate
 
Huku walifanya hivi hivi, lakini umeme ulikuwepo WALIPOMALIZA KAZI. Wanapozitoa wanakuwa busy kurudisha mpya ili umeme uweze kuwaka wanapofunga kazi kwa siku hiyo.
kama wamezma umeme, then that is very bad
Na mbaya zaidi ni nyumba kama 8 tu hivi ndio hatuna umeme,
Wengine wote unawaka
 
Mkuu nani kasema tumeacha..
Tunapitia hizo badae...

Huku kuna vitengo pia sio kila kitu tunaondoka nacho hapo hapo...

Pia unaweza chukua ukafunga kama kamba ya kuanikia nguo
 
Hili shirika Lina wavuta bangi wengi kuliko shirika lenyewe. Walikuwa wanabadirisha nguzo Kwa hakika nilikimbia kwangu Hadi usiku sio Kwa matusi Yale wale wahuni sijui wamesomea hizo nyimbo za matusi.

Nikiwa ndani nikasikia wimbo unaimbwa

Zaina zaina
Kiitikio "Zaina"
Mtoto wa kifalme. "Zaina"
Mwenye k ndogo "Zaina"
 
WATAZIKUSANYA BAADAYE, HUWA WANAFANYA HIVI POTE WANAPOKUWA WANABADILISHA NYAYA/NGUZO
It's funny thing to do things twice, wanashindwa kuziondoa muda huohuo wanapoenda au hama kati ya nguzo na nguzo? Au ndo mafuta yapo na muda wanao no godamn pressure 🤣
 
Nadhani waliona hili bandiko hapa,
Wamekuja usiku saa 6
Kuja kuziondoa na kurudisha umeme
 
Back
Top Bottom