Kwa nini majike tu?

sawa kabisa, lakini KUNYA inabaki KUNYA tu, hata ukienda haja kubwa UTAKUNYA tu! ....im sorry

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, unatuchekesha tulionuna bana! ha ha ha...!
 
hii thread presha inapanda, presha inashuka
 
sawa kabisa, lakini KUNYA inabaki KUNYA tu, hata ukienda haja kubwa UTAKUNYA tu! ....im sorry

Lol!!! usiseme sorry mazee, nimecheka mpaka basi... yaani you have put it very raw mkuu!!

Haya bana, kukata gogo je??πŸ˜€
 
Lol!!! usiseme sorry mazee, nimecheka mpaka basi... yaani you have put it very raw mkuu!!

Haya bana, kukata gogo je??πŸ˜€

:lol :lol
 
Lugha nyingine hazina hata heshima, kwa akili yako unaona neno jike ni vizuri kutumiwa kwa mwanamke?
 
Ukiona kaka anahongwa na demu jua anatoka kwa Kabila na huyo kazi yake atasonga ugali atatia ndondo tui la nazi na atashea mkorogo na mwishoe atafua kapu zima la makufuli ya mama lol.Dada zetu hata angekuwa na Phd ataomba tu eti ndo maluv.Baeleze waache hizo kama raha kila mtu anapata bana,akina dada acheni kuwa akina Matonya kwani si ndo usawa na fursa sawa majameni?
 
ndivyo walivyoumbwa!
mimi sijawahi kuuona mshahara wa wife,na kila siku hela nampa!
Pole sana ndugu.....
inategemea ulivyokuwa unajifagilia..kama ulijifanya kibopa basi imekula kwako..... wengine kipato kinaonekana na kuwa appreciated ile mbaya!
 
pole sana ndugu.....
Inategemea ulivyokuwa unajifagilia..kama ulijifanya kibopa basi imekula kwako..... Wengine kipato kinaonekana na kuwa appreciated ile mbaya!
wewe ni he/she?πŸ™
 
Pole sana ndugu.....
inategemea ulivyokuwa unajifagilia..kama ulijifanya kibopa basi imekula kwako..... wengine kipato kinaonekana na kuwa appreciated ile mbaya!

Regardless ya kujifagilia,

Wanawake kupenda kuhudumiwa inawaondolea credibility katika kutafuta usawa. Kama kweli wanawake wanataka usawa wajue kuonyesha wako sawa katika nyanja zote. Sio kwenye kununua bia unataka kununuliwa kila siku halafu watu wakifika nyumbani eti unataka baba aingie jikoni naye kwa sababu ya usawa, ebo! Huu kama si u golddigger ni nini?

Kuna mama mmoja, reasonably urbanite and all, nilikuwa namfundisha mambo fulani mildly complex ambayo angetaka kuyajua angeyajua, lakini akawa anakataa kujifunza akisema "in the best case scenario, my husband should be here doing this for me, I shouldn't even be working". Nikaona duh, kumbe haya mambo sio kwetu tu Africa hata viwanja kuna wanawake wanajihalalishia hili?

Whatever happenned to "what a man can do, a woman can do better"?
 
, YES OFFCOURSE WANAWAKE WANAPENDA SANA KUPEWA, MITEREMKO WANAPENDA sasa tutafanyaje na ndio hivyo tena nature ilivyo!.


ulimuibua wapi huyo anayependa mteremko? Kwanza elewa siyo kila mwanamke anashida ya uchache..wengine uchache umewatembelea siku nyingi na kwa vile wanatoa badi hujaaliwa kupata zaidi kila siku.

Hivi hivyo ambavyo mnawapa wanawake huwa wanawaomba au ni nyie wenyewe tu huwa mnaamua kutoa?

Ukiona mwanaume analalamika kutoa..ujue yeye alianza kwa kujifanya matawi ya juu..sasa imefika saa ya ukweli ( moment of reckoning)..anaona maji marefu hayawezi....


Hiki ndicho hasa kinachotokea mara nyingi... najiangalia mimi VC nikuombe hela ya vocha hahahahahahh !It must be a practical joke!

 
Lugha nyingine hazina hata heshima, kwa akili yako unaona neno jike ni vizuri kutumiwa kwa mwanamke?

chukua kamusi tafuta tafsiri ya neno "JIKE".....you fit in oraiti! mke wangu atajifungua "DUME"....teh teh,
im sory!
 
chukua kamusi tafuta tafsiri ya neno "JIKE".....you fit in oraiti! mke wangu atajifungua "DUME"....teh teh,
im sory!

hahahahah yaani wewe sijui kama umesoma kiswahili fasaha kweli Amoeba na si makosa yako nionavyo mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…