Kwa nini makaburini wamejenga uzio

Ili marehemu wasikimbie adhabu, 'nchale juu ya nchale' humo.
 
Kwa mtazamo wa fasta.....sababu hakuna anayeweza kutoraka.......hakuna aliyeletwa humo akiwa hai...
Wanaweka uzio kudhibiti wezi wanaoiba misalaba,kufukia makaburi na kuiona mali za marehemu, kuzuia wale watu wanafanya mapenzi makaburini ,kuzuia watu wanafanya mambo ya kishirikina makaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…