[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fimbo ya mbali haiui nyoka...We umetoka Mbeya hawala ametoka Simiyu. What do you expect?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boom linawachanganya watu aisee
Ndo linapelekea ku-fake maisha na ujuaji mwingi
Kabisaaa yaan.Kilichowaunganisha ndicho kitakachowatenganisha, mmependana mwanzo wa masomo na mtaachana mwisho wa masomo
[emoji419][emoji419][emoji419]Kilichowaunganisha ndicho kitakachowatenganisha, mmependana mwanzo wa masomo na mtaachana mwisho wa masomo
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]umeua kabisa.Boom linawachanganya watu aisee
Ndo linapelekea ku-fake maisha na ujuaji mwingi
Basi likifika mwisho wa safari huna budi kushuka ili kuwapisha wengine wanaoenda kwengineHivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?
Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.
Ukimaliza kula ndizi Ganda utaendelea kushikilia?Hivi kwanini mahusiano ya vyuoni i.e college/university huaga hayadumu..?
Unakuta mmekutana mumeelewana kabisa na mnaweza mkaishi miaka yote mtakayokua chuo kama wapenzi/wachumba ILA shule ikiisha tuu mkirud majumbani mambo yanaharibika taratibu mpaka mna~brake up.