JOMBAAA Member Joined Jun 2, 2011 Posts 25 Reaction score 2 Jun 15, 2011 #1 Kwa sababu viongoz wetu si wasema ukwel,hawatekelezi haadi zao kwa wanafunzi.mfano. Udom waliaidiwa watakwenda fied lakini viongozi wamewadanganya. Hatima yake ni kuwarudisha kwa wazazi wao.kwel viongoz wa namna hii wanatufaa watanzania?
Kwa sababu viongoz wetu si wasema ukwel,hawatekelezi haadi zao kwa wanafunzi.mfano. Udom waliaidiwa watakwenda fied lakini viongozi wamewadanganya. Hatima yake ni kuwarudisha kwa wazazi wao.kwel viongoz wa namna hii wanatufaa watanzania?
W Wabo Member Joined Jun 15, 2011 Posts 59 Reaction score 10 Jun 15, 2011 #2 siyo vyuo vikuu pekee hata matatizo km umeme, umasikini , hayato isha sababu ni uongozi mbovu