kwa kawaida ya magonjwa yote ya kuambukiza huwa kunakuwa na time toka kuambukizwa mpaka nae aweze kuambukiza. mfano siku za mwanzo mgonjwa wa ukimwi uwezo wake wa kuambukiza unakuwa mdogo lakini siku zinavyopita unakuta hata mate yanakuwa na virusi. tukirudi kwenye swali haiwezekani mtu huyu kuambukiza sababu vurusi vinatakiwa viingie kwenye damu kisha ndani ya seli kuzaliana na kusambaa sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye mbegu za kiume sasa visipozaliana haviwezi kusurvive na pia concentration yao inakuwa ndogo mno to be infective
kwa bongo sijui ila wenzetu huko ulaya wanapima, kuna aina nyingi ya cell surface receptor (vishikizo)unajua hata CD4 ni cell surface receptor(vishikizo sijui kama ni neno muafaka). kwa hiyo watu wakisema CD4 zimepungua huwa wanamaanisha seli zenye vishikizo vya CD4 zimepungua baada ya kuingiliwa na virusi. ila kujua kama mtu hawezi pata ukimwi huwa wanapima vishikizo vya aina ya CXCR5 (am i going to far?). nafikiri tunaweza kupima pengine tunaona it is a luxury we can not afford
kwa bongo sijui ila wenzetu huko ulaya wanapima, kuna aina nyingi ya cell surface receptor (vishikizo)unajua hata CD4 ni cell surface receptor(vishikizo sijui kama ni neno muafaka). kwa hiyo watu wakisema CD4 zimepungua huwa wanamaanisha seli zenye vishikizo vya CD4 zimepungua baada ya kuingiliwa na virusi. ila kujua kama mtu hawezi pata ukimwi huwa wanapima vishikizo vya aina ya CXCR5 (am i going to far?). nafikiri tunaweza kupima pengine tunaona it is a luxury we can not afford
carriers ni wale wenyeHIV lakini kinga yao haija athirika kiasi cha kupata magonjwa nyemelezi yaani hawana UKIMWI, na vipimo vyao huonyesha HIV positive
thanks mkuuYour the real doctor.
I saluted you.