shampondo shila
Member
- Jan 14, 2020
- 19
- 42
Unakuta mtu anasema eti halagi viporo ila cha ubwbwa anakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣familia itakuwa na viriba tumbo hiyo🙌Cha ugali nakikata vzr tu
Mbona kiporo cha ugali kinapashika
Ova
Ndiyo mambo yetu haya kanda za maziwa makuu tena kiwe ni ugali wa muhogo uliochanganywa na mtama unashushia na maziwa mtindi, samaki wa kubanikwa au kisamvu kilicholala [emoji3]Unakuta mtu anasema eti halagi viporo ila cha ubwbwa anakula
Hii mpya hii...kinalainikaje saKiporo cha ugali unakikatakata na kukichanganya unavyopika ugali wa mchana.
Unaukata vipande vidogo vidogo na kuchanganya kabla uji haujaiva, mpaka uji wa ugali unaiva vinakuwa vimelainika.
Unakuta mtu anasema eti halagi viporo ila cha ubwbwa anakula
Kijijini tumevila bila hata kupashwa🤣familia itakuwa na viriba tumbo hiyo🙌
Kiporo cha ugali we unaweza kupasha?Unakuta mtu anasema eti halagi viporo ila cha ubwbwa anakula
Sisi tulikuwa tunachoma motoni kama viaz,tulijaa tumbo balaaKijijini tumevila bila hata kupashwa
Kwa hiyo una kitambi 😄Sisi tulikuwa tunachoma motoni kama viaz,tulijaa tumbo balaa
🤣🤣🤣Kwa hiyo una kitambi 😄
Natamani nikuone