Marek18
Member
- Apr 26, 2020
- 20
- 18
Hivi kwanini watu wanapoibiwa au kupoteza kitu huwa wanafanya mambo ya ajabu...
1.Kuna jamaa aliibiwa bicycle sokoni yaan aliitafuta hadi mfukoni duh....
2.huyu yeye alipoteza funguo za gheto,zilikua nyingi tu ila cha ajabu alianza kuzitafuta kwenye maeneo tofauti mara afungue mfuniko wa simu atoe betry . haoni kitu Mara avue viatu na soksi haoni kitu...
Vp na wewe ukipoteza vitu huwa unafanya vitu vya namna hii???
1.Kuna jamaa aliibiwa bicycle sokoni yaan aliitafuta hadi mfukoni duh....
2.huyu yeye alipoteza funguo za gheto,zilikua nyingi tu ila cha ajabu alianza kuzitafuta kwenye maeneo tofauti mara afungue mfuniko wa simu atoe betry . haoni kitu Mara avue viatu na soksi haoni kitu...
Vp na wewe ukipoteza vitu huwa unafanya vitu vya namna hii???