Kwa nini Muungano uvunjike? Na pia kwa nini usivunjike?

Kwa nini Muungano uvunjike? Na pia kwa nini usivunjike?

Mashaxizo

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
6,707
Reaction score
3,346
Kila nikiungalia muungano mwenzenu sipati jibu, kwa mfano Muungano unapingwa sana na Wazanzibar kuliko Watanganyika, lapili ni kuwa Viongozi wanaung'ang'ania sana! Kwa nini muungano uvunjike? Na kwa nini ubakie?
 
Utavunjika kwa sababu marais na wakuu wa nchi wanatembelea tu bara hawafiki Zanzibar, mfano Bush, Obama na yule rais wa China hawakupangiwa kufika Zanzibar
 
hakuna usawa ni vyema ukavunjika tu, haiwezekani watu millioni 45 wakalazimisha kuungana na watu milioni moja na nusu,,kama watanganyika wanataka kuungana kweli mbona hawaungani na Ghana ama DRC wanalazimisha Zanzibar tu kuna nini?
 
Back
Top Bottom