Nchi zilizochanja sana ndizo zenye maambukizi sana!!! Mmmhhh!!🤔🤔🤔🤔
Mwandishi wa makala haya katika geopolitic dot org anauliza maswali ya msingi sana:
Anasema:
"Ask yourself. What is the cause of this trend among the vaccinated? The SARS-2 Delta Variant or the Killer Vaccine?"
Na ukisoma makala unaona kuwa wanapiga marufuku kufanyia maiti autopsy. Kwa nini? Mnaficha nini? Mna mipango gani?
......
Ni mambo ya kujiuliza na kuchunguza badala ya kukimbilia kusema "mbona tulishachanjwa?" Kwani kuuliza jambo ni dhambi?
Source: Most Vaccinated Countries Have Most COVID Cases - geopolitic
Nchi zilizochanja sana ndizo zenye maambukizi sana!!! Mmmhhh!!🤔🤔🤔🤔
Mwandishi wa makala haya katika geopolitic dot org anauliza maswali ya msingi sana:
Anasema:
"Ask yourself. What is the cause of this trend among the vaccinated? The SARS-2 Delta Variant or the Killer Vaccine?"
Na ukisoma makala unaona kuwa wanapiga marufuku kufanyia maiti autopsy. Kwa nini? Mnaficha nini? Mna mipango gani?
......
Ni mambo ya kujiuliza na kuchunguza badala ya kukimbilia kusema "mbona tulishachanjwa?" Kwani kuuliza jambo ni dhambi?
Source: Most Vaccinated Countries Have Most COVID Cases - geopolitic
Sasa watu wamekabidhi mabega watumbukizwe protin za covid unategemea nini?
Hata hapa kwetu muda mchache baada ya kuchanja watu kama laki moja na 60 Rate ya covid ilipanda sana lakin baada ya kupuuzwa rate imepungua tena
mimi sio mtaalamu wa afya lakini katika literature nilizoziona mtandaoni ni kua Hizi chanjo zinauelekeza mwili kupigana na specific spike protein ya Sars-Cov2, once a new variant arises ,they become obsolete...Nchi zilizochanja sana ndizo zenye maambukizi sana!!! Mmmhhh!!🤔🤔🤔🤔
Mwandishi wa makala haya katika geopolitic dot org anauliza maswali ya msingi sana:
Anasema:
"Ask yourself. What is the cause of this trend among the vaccinated? The SARS-2 Delta Variant or the Killer Vaccine?"
Na ukisoma makala unaona kuwa wanapiga marufuku kufanyia maiti autopsy. Kwa nini? Mnaficha nini? Mna mipango gani?
......
Ni mambo ya kujiuliza na kuchunguza badala ya kukimbilia kusema "mbona tulishachanjwa?" Kwani kuuliza jambo ni dhambi?
Source: Most Vaccinated Countries Have Most COVID Cases - geopolitic
Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.
Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.
Source please?
Ndugu hizi percenge zako zipo sawa kweli?Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.
Ndugu hizi percenge zako zipo sawa kweli?
Kwamba wanaokufa wakiwa na chanjo ni 1% na wasio na chanjo ni 99%...kwamba katika watu mia ambao hawajachanjwa wakipata corona ni mmoja tu atapona, 99 wata rest in peace...[emoji848][emoji848]
Unaweza weka source ya hizi takwimu?
Hapana, halinganishi, anauliza tu, kwanini wanapochanjwa ndioo Corona inashashamiri zaidi?Unalinganisha na Tanzania ambayo Corona haijawahi kuwapo?
Wanasema ukichanja unaacha kuvaa barakoa?Vipi kuhusu katika nchi hizo wale wabishi waliokataa kupata chanjo na kuvaa barakoa mbona hujawazungumzia?
Na wanaochanjwa na kufariki kwa Corona, video ziko wapi?
Kirusi kikibadilika tunatakiwa tukachanje tena?Kinachoshangaza ni watu wasiotaka chanjo kushupaa na chanjo. Kwani hata inawahusu nini basi?
Chanjo si ni hiari hapa kwetu at least?
‘99% of Covid deaths are from unvaccinated’ ina maana sawa na ‘fatality among unvaccinated ni 99%’? , hizo sentensi 2 zinamaana sawa?99% of COVID deaths are now of unvaccinated people, experts say
COVID cases and deaths are on the rise in what is now a "pandemic of the unvaccinated," the director of the CDC said.www.cnet.com
Hazina maana sawa......hiyo takwimu inaonesha kwa waliofariki kwa covid ,ni asilimia 99 ndiyo wasiochanjwa na ni asilimia 1 tu waliochanjwa.....‘99% of Covid deaths are from unvaccinated’ ina maana sawa na ‘fatality among unvaccinated ni 99%’? , hizo sentensi 2 zinamaana sawa?