#COVID19 Kwa nini nchi nyingi zilizopata chanjo zina idadi kubwa ya maambukizi ya COVID19?

Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.
Sisi kipimo chetu EPL tu watu wamechanja wanajaza viwanja hakuna barakoa hiyo dalili njema maisha yamerudi,
 
Nchi ya watu million 50 wanapimwa sehemu moja tu jambo la kushangaza sana ila sisi hatuumwi sana lakini sio kwamba hatuna corona na uhakika kama tutapiga foleni kupima tunaweza kujikuta 70% positive ila kwa kuwa kuwa na corona sio kuumwa unaweza kuwa na Covid mpaka inaishia bila kusikia dalili yoyote na hao ndio wengi sana wachache inawapiga kidogo na wako inawatesa sana.
 
ata mimi nimezishangaa sana hesabu zake...
kwa maana hio, basi wa Tz tungekua tumeisha kitambo sana..
 
Wako sawa, mnaotaka hizo takwimu huwa mnazihitaji ili iweje?

Na unapouguza mgonjwa unataka ujue ana covid au apone?
 
Hizo ndizo zilizoathiriwa zaidi,sema lingine.
 
Na wewe unakaa unaulizia majibu ya covid, kana kwamba watamani uambiwe ana covid , ili uisifu covid jinsi inavyoshughulikia wanadamu siyo?
 
Sisi kipimo chetu EPL tu watu wamechanja wanajaza viwanja hakuna barakoa hiyo dalili njema maisha yamerudi,
Sisi wengine kipimo chetu 'kwa mkapa'.. Watu wanajaa uwanjani, hawana barakoa, hawajachanjwa, na hawafi kwa covid,... Tumeyashuhudia haya na tunaendelea kuyashuhudia..
Wao maisha yamerudi, sisi maisha yanaendelea..
 
Hizo ndizo zilizoathiriwa zaidi,sema lingine.
Tulimzika Magufuli tukiwa makundi kwa makundi.
Tunashonana kwenye usafiri na viwanja vya michezo kila siku;
Kwa nini hatukushuhudia maambukizi yakipanda wakati tunaambiwa kila siku
kuhusu social distancing?

Tuliambiwa barabara za Afrika zitakuwa zimejaa maiti za waliokufa kwa korona.
Wako wapi maiti hao zaidi ya mwaka sasa?
 
Usiishi kwa kukariri,akili zakuambiwa changanyamo na zako,pia mazingira yako sii ya wengine.pia unazotakwimu za kwenu,au unatujia na porojo za akina gwajiboy.
 
Na wewe unakaa unaulizia majibu ya covid, kana kwamba watamani uambiwe ana covid , ili uisifu covid jinsi inavyoshughulikia wanadamu siyo?
la hasha.
Ni mbali na hayo.
Nikupe challenge.

Kama kabla ya chanjo dalili si nyingi lakini baada ya chanjo zinaongezeka,
Je, hakwamba dalili za korona actually ni dalili za chanjo?
 
Usiishi kwa kukariri,akili zakuambiwa changanyamo na zako,pia mazingura yako sii ya wengine.pia unazotakwimu za kwenu,au unatujia na porojo za alina gwajiboy.

 
watakwambia chanjo haikuzuii kupata corona bali hata ukipata haikusumbui
 
Acha uongo wewe! Waliochanja wanaopata Covid ni 3% tu ukilinganisha na 97% ya wasiochanja na wanaokufa waliochanja ni 1% ukilinganisha na 99% ya wasiochanja.
Hizi takwimu kuwa wasio chanja kati ya 100% wanaokufa ni 99% umezitoa wap mkuu?
 
CDC sikurupuki kuweka kitu hapa bila ya kuwa ná uhakika nacho.
Kabla ya kugundilika chanjo waliokuwa ni asilimia ngapi kati ya wale waliokuwa wanaumwa?
 
Mwanzo nlkua nachonga sana kuhusu covid, ila toka imenipata imenikata ngebe zote, mpaka leo sijakaa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…