Mimi nashangaa mwanaume anapofariki kama alikuwa na mke au mchumba wanaanza kumsakam huyo mwanamke na kudai anajua mali za mtota wao zilipo.
Kuna rafiki yangu mchumba wake amefariki juzi amezikwa jana aliuwawa na majambazi huko kampala na ilikuwa afunge ndoa na mchumba wake wiki mbili zijazo,maandalizi yalishaanza.
Ndugu wa mvulana kusikia tu amekufa wakaanza mtafuteni R mchumba wa huyo marehemu atuonyeshe hela za fulani zilipo ni kweli huyo mvulana kila kitu chake anakijua huyo dada mpaka pesa, haziko benki ila huyo binti anajua zilipo na wamemzuia kwenda kwenye mazishi kwa madai kamuua mpenzi wake arithi mali na si kweli baba wa kijana hana shida anamwambia chukua chochote ulichonacho alikuwa mchumba wako kasheshe ni mama na mashangazi na wakati wanaanza uhusiano jamaa alikuwa form five kwa hiyo mali kazipata wakiwa nae..
sasa mimi kaniuliza awaonyeshe pesa zilipo au anyamaze nazo. halafu kama miezi miwili iliyopita jamaa alimuandikisha kila kitu huyo mchumba wake na akaweka kwa mwanasheria maana ndugu zake wakorofi avirudishe au achukue, nisaidieni nipate cha kumjibu
Kuna rafiki yangu mchumba wake amefariki juzi amezikwa jana aliuwawa na majambazi huko kampala na ilikuwa afunge ndoa na mchumba wake wiki mbili zijazo,maandalizi yalishaanza.
Ndugu wa mvulana kusikia tu amekufa wakaanza mtafuteni R mchumba wa huyo marehemu atuonyeshe hela za fulani zilipo ni kweli huyo mvulana kila kitu chake anakijua huyo dada mpaka pesa, haziko benki ila huyo binti anajua zilipo na wamemzuia kwenda kwenye mazishi kwa madai kamuua mpenzi wake arithi mali na si kweli baba wa kijana hana shida anamwambia chukua chochote ulichonacho alikuwa mchumba wako kasheshe ni mama na mashangazi na wakati wanaanza uhusiano jamaa alikuwa form five kwa hiyo mali kazipata wakiwa nae..
sasa mimi kaniuliza awaonyeshe pesa zilipo au anyamaze nazo. halafu kama miezi miwili iliyopita jamaa alimuandikisha kila kitu huyo mchumba wake na akaweka kwa mwanasheria maana ndugu zake wakorofi avirudishe au achukue, nisaidieni nipate cha kumjibu