kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 464
- 447
Neno nyanda ni neno la kisukuma lenye maana ya mvulana. Je, ilikuwaje likawa linatumika kama jina la mlinda-mlango kwenye mpira wa miguu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaNyanda ni jina la golikipa wa zamani wa Pamba United kabla ya Rwemaho Mkami; alikuwa golikipa mzuri sana asiyefungika kirahisi ila sijui aliishia wapi.
Nyanda za Juu Kusini....nawaza tu fasiri yakeKinyakyusa
Nyanda = mimba
Natamani nipate stori zake zaidi ni miaka ipi na nini haswa zilikua sifa zake mpaka jina lake litumike mpaka leo kwa sisi watu wa soka. Jazia kidogo vinyama tupate madiniNyanda ni jina la golikipa wa zamani wa Pamba United kabla ya Rwemaho Mkami; alikuwa golikipa mzuri sana asiyefungika kirahisi ila sijui aliishia wapi.
UmeuaKizigua nyanda= nyapu
Eti ephen_ kweli hii?Kingoni
Nyanda = Shobo.
'Nyanda' ni wingi wa 'uwanda'."Nyanda za juu kusini",,nyanda ni neno au jina la kibantu.