wapendwa leo Geof amewashukuru wanaJF wote kwa ushirikianao waliotoa kufanikisha arusi (wataalam wanasema sio HARUSI) yake . Sasa mie nilipoona nikakumbuka neno hili hutumiwa sana na watu wafanyao kumbukizi za marehemu hasa kwnye magazeti.
nini chanzo cha neneo hili kutumika huko (kuwafanyia marehenmu hitma au kumbukizi) zaidi ya matuio mengune?????????