Kwa nini ni rahisi kwa nyuma mwiko kuwashawishi wachezaji wa Simba kuliko Simba inavyoweza kuwashawiahi wachezaji wa nyuma mwiko

Kwa nini ni rahisi kwa nyuma mwiko kuwashawishi wachezaji wa Simba kuliko Simba inavyoweza kuwashawiahi wachezaji wa nyuma mwiko

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nyuma mwiko ni timu inayowekeza sana kwenye propaganda.Propaganda hii imekuwa kubwa kiasi kwamba inaweza kuambatana na mipango ya nje ya uwanja kuathiri matokeo ya mechi ndani ya uwanja.
Mfano sasa hivi wana kampeni ya kuhakikisha Dube anakuwa mfungaji bora hata kama ni kwa kutumia ushawishi dhidi ya timu pinzani ili mradi tu ionekane wao ni washindi dhidi ya Azam aliyemnunua Fei Toto.
Wanafanya hivi ili kuwatisha wachezaji wao wazuri wasi jaribu kufikiri kuiacha timu yao kirahisi.
Walijaribu kuhakikisha wanamuua Fei Toto kwa namna yoyote ile lakini walishindwa.Fei Toto bado ni wa moto.

Hawa nyuma mwiko wanafanya uchawi sana wa siri na wa wazi.Wanao uwezo wa kuua kipaji cha mtu wakiamua kufanya hivyo na hasa mchezaji wanayetaka kumuua akiwa timu pinzani.

Kwa sasa wanatamani kipaji cha Chasambi kife ama akubali kucheza kwao.

Ninachokiona ni huyu kijana kusajiliwa na nyuma mwiko kwa bei ndogo kwa sababu wamefanikiwa kumtengenezea pressure ili asicheze vizuri akiwa Simba.Hii pressure Chasambi hataishinda labda awafunge wao nyuma mwiko zaidi hata ya mara moja.
Vinginevyo kama ilivyokuwa kwa Chama,alitengenezewa pressure kwa kusemwa kwamba ni mzee na wao hao hao yanga wakimwita kiungo kono kono,huku kwa mlango wa nyuma rais wao akimtafuta kwa siri na kumpongeza hasa anapocheza chini ya kiwango kwenye mechi muhimu za ligi,walifanikiwa kumwaminisha eti Simba hakuna wachezaji wa kumsaidia kufikia malengo yake.

Naamini na huyu kijana huenda walishamlisha sumu kama aliyopewa chama ya kuaminishwa kuwa huko Simba hakuna wachezaji wanaoweza kumfanya afikie ndoto zake.

Hicho wanachofanya yanga ni aina ya uchawi wa juu sana wa kisasa na wanao wale wazee wanafanya uchawi mweusi na hutawasikia wakisema kitu.

Ukisikia nyuma mwiko wanasema mashabiki wa simba ni mbumbumbu ni kwa sababu nyuma mwiko waki set agenda,mashabiki wetu bila kujua athari ya maneno yao,wanaingia kwenye mfumo na kusababisha timu kuchafuliwa sana.Mfano shabiki anasema tutatumia hata waamuzi kushinda mechi,yeye anafikiri anatania kumbe wenzake wanaichukua kama propaganda na itaiathiri timu tu.
Mfano mechi ya derby simba alinyimwa penalty tatu za wazi.Kisa ni kwa sababu kwenye ligi yetu hutakiwi kushinda kwa penalty.Hizi ni propaganda za nyuma mwiko na zimefanikiwa kuwaathiri hadi wachambuzi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nyuma mwiko ni timu inayowekeza sana kwenye propaganda.Propaganda hii imekuwa kubwa kiasi kwamba inaweza kuambatana na mipango ya nje ya uwanja kuathiri matokeo ya mechi ndani ya uwanja.
Mfano sasa hivi wana kampeni ya kuhakikisha Dube anakuwa mfungaji bora hata kama ni kwa kutumia ushawishi dhidi ya timu pinzani ili mradi tu ionekane wao ni washindi dhidi ya Azam aliyemnunua Fei Toto.
Wanafanya hivi ili kuwatisha wachezaji wao wazuri wasi jaribu kufikiri kuiacha timu yao kirahisi.
Walijaribu kuhakikisha wanamuua Fei Toto kwa namna yoyote ile lakini walishindwa.Fei Toto bado ni wa moto.

Hawa nyuma mwiko wanafanya uchawi sana wa siri na wa wazi.Wanao uwezo wa kuua kipaji cha mtu wakiamua kufanya hivyo na hasa mchezaji wanayetaka kumuua akiwa timu pinzani.

Kwa sasa wanatamani kipaji cha Chasambi kife ama akubali kucheza kwao.

Ninachokiona ni huyu kijana kusajiliwa na nyuma mwiko kwa bei ndogo kwa sababu wamefanikiwa kumtengenezea pressure ili asicheze vizuri akiwa Simba.Hii pressure Chasambi hataishinda labda awafunge wao nyuma mwiko zaidi hata ya mara moja.
Vinginevyo kama ilivyokuwa kwa Chama,alitengenezewa pressure kwa kusemwa kwamba ni mzee na wao hao hao yanga wakimwita kiungo kono kono,huku kwa mlango wa nyuma rais wao akimtafuta kwa siri na kumpongeza hasa anapocheza chini ya kiwango kwenye mechi muhimu za ligi,walifanikiwa kumwaminisha eti Simba hakuna wachezaji wa kumsaidia kufikia malengo yake.

Naamini na huyu kijana huenda walishamlisha sumu kama aliyopewa chama ya kuaminishwa kuwa huko Simba hakuna wachezaji wanaoweza kumfanya afikie ndoto zake.

Hicho wanachofanya yanga ni aina ya uchawi wa juu sana wa kisasa na wanao wale wazee wanafanya uchawi mweusi na hutawasikia wakisema kitu.

Ukisikia nyuma mwiko wanasema mashabiki wa simba ni mbumbumbu ni kwa sababu nyuma mwiko waki set agenda,mashabiki wetu bila kujua athari ya maneno yao,wanaingia kwenye mfumo na kusababisha timu kuchafuliwa sana.Mfano shabiki anasema tutatumia hata waamuzi kushinda mechi,yeye anafikiri anatania kumbe wenzake wanaichukua kama propaganda na itaiathiri timu tu.
Mfano mechi ya derby simba alinyimwa penalty tatu za wazi.Kisa ni kwa sababu kwenye ligi yetu hutakiwi kushinda kwa penalty.Hizi ni propaganda za nyuma mwiko na zimefanikiwa kuwaathiri hadi wachambuzi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Naichukia sana ile timu ya kishirikina nyuma mwiko, wanachojua ni kucheza mpira nje ya uwanja, ni kitu kinachokera sana simba pamoja na ku-improve sana ktk ubora lkn kwetu kila mechi fainali, ubora wa simba umeimarika sana msimu huu, lkn kwann kila mechi kwetu ya ligi ni ngumu na chungu kama shubiri, timu ndogo zinacheze kwa kukamia sana gem zetu, wapo tayari wapaki bas simba akose sehem ata yakupiga hata penetration pasi, lkn wakicheza na nyuma mwiko vinaachia kirahisi sana vinashonwa magoli mengi, minaona kabisa nyuma mwiko kuna kitu nje ya uwanja wanafanya. Gem nyingi zimekua vita kwa simba lkn kwa nyuma mwiko wao kitonga tu, ila pw ipo siku watakoma tu mbwa hawa
 
Nyuma mwiko ni timu inayowekeza sana kwenye propaganda.Propaganda hii imekuwa kubwa kiasi kwamba inaweza kuambatana na mipango ya nje ya uwanja kuathiri matokeo ya mechi ndani ya uwanja.
Mfano sasa hivi wana kampeni ya kuhakikisha Dube anakuwa mfungaji bora hata kama ni kwa kutumia ushawishi dhidi ya timu pinzani ili mradi tu ionekane wao ni washindi dhidi ya Azam aliyemnunua Fei Toto.
Wanafanya hivi ili kuwatisha wachezaji wao wazuri wasi jaribu kufikiri kuiacha timu yao kirahisi.
Walijaribu kuhakikisha wanamuua Fei Toto kwa namna yoyote ile lakini walishindwa.Fei Toto bado ni wa moto.

Hawa nyuma mwiko wanafanya uchawi sana wa siri na wa wazi.Wanao uwezo wa kuua kipaji cha mtu wakiamua kufanya hivyo na hasa mchezaji wanayetaka kumuua akiwa timu pinzani.

Kwa sasa wanatamani kipaji cha Chasambi kife ama akubali kucheza kwao.

Ninachokiona ni huyu kijana kusajiliwa na nyuma mwiko kwa bei ndogo kwa sababu wamefanikiwa kumtengenezea pressure ili asicheze vizuri akiwa Simba.Hii pressure Chasambi hataishinda labda awafunge wao nyuma mwiko zaidi hata ya mara moja.
Vinginevyo kama ilivyokuwa kwa Chama,alitengenezewa pressure kwa kusemwa kwamba ni mzee na wao hao hao yanga wakimwita kiungo kono kono,huku kwa mlango wa nyuma rais wao akimtafuta kwa siri na kumpongeza hasa anapocheza chini ya kiwango kwenye mechi muhimu za ligi,walifanikiwa kumwaminisha eti Simba hakuna wachezaji wa kumsaidia kufikia malengo yake.

Naamini na huyu kijana huenda walishamlisha sumu kama aliyopewa chama ya kuaminishwa kuwa huko Simba hakuna wachezaji wanaoweza kumfanya afikie ndoto zake.

Hicho wanachofanya yanga ni aina ya uchawi wa juu sana wa kisasa na wanao wale wazee wanafanya uchawi mweusi na hutawasikia wakisema kitu.

Ukisikia nyuma mwiko wanasema mashabiki wa simba ni mbumbumbu ni kwa sababu nyuma mwiko waki set agenda,mashabiki wetu bila kujua athari ya maneno yao,wanaingia kwenye mfumo na kusababisha timu kuchafuliwa sana.Mfano shabiki anasema tutatumia hata waamuzi kushinda mechi,yeye anafikiri anatania kumbe wenzake wanaichukua kama propaganda na itaiathiri timu tu.
Mfano mechi ya derby simba alinyimwa penalty tatu za wazi.Kisa ni kwa sababu kwenye ligi yetu hutakiwi kushinda kwa penalty.Hizi ni propaganda za nyuma mwiko na zimefanikiwa kuwaathiri hadi wachambuzi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Na bado mtanena kwa lugha,,mlikuwa mnaongoza ligi Aya maneno atukuyasikia,,mlikuwa mnashinda kwa makandokando Aya maneno atukuyasikia,,sasa Leo yanga kakaa pale juu mnaanza hekaya za abunuwasi,,yanga acheki na kima sasa hivi mkitumia marefa kubebwa wenzenu watatumia wachezaji kubebwa,,mkitumia wachezaji kubebwa wenzenu watatumia marefa kubebwa na mwisho wa msimu tutaona nani bingwa!
 
Simba alikuwa na draw na JKT,Dodoma Jiji huko kote alinusurika na bado ana draw kadhaa zinakuja
Simba msimu huu kuwa bingwa haiwezekani na msimu ujao ndio kabisa haiwezekani
Cha msingi leteni tu historia ya mwaka 74 kuwa na nyie mmewahi kuchukua back to back mara 6
 
Diara angekuwa ni kipa wa Simba halafu afungwe lile goli alilofungwa bado mngesema ni Yanga imesababisha wakati kafungwa kwa uzembe wake.

Simba ni timu kubwa sana na inayoheshimika ndani na nje. Sema tatizo kubwa MASHABIKI WAKE WENGI NI WASHIRIKINA NA HUAMINI KATIKA UCHAWI NA MAJUNGU. Hata huku makazini ndio wanaoongoza kwa majungu na kuwafitinisha wenzao kwa mabosi. Kuna mmoja nipo naye idara moja anaitwa Saidi yeye muda wote ni kuongelea uchawi, akisikia fulani anaumwa utasikia akisema " itakuwa kalogwa huo".
 
Ukikamatwa na kuambiwa utoe ushahidi wa shutuma zako utaanza kulialia na kutoa macho tu bila ushahidi.
 
Nyuma mwiko ni timu inayowekeza sana kwenye propaganda.Propaganda hii imekuwa kubwa kiasi kwamba inaweza kuambatana na mipango ya nje ya uwanja kuathiri matokeo ya mechi ndani ya uwanja.
Mfano sasa hivi wana kampeni ya kuhakikisha Dube anakuwa mfungaji bora hata kama ni kwa kutumia ushawishi dhidi ya timu pinzani ili mradi tu ionekane wao ni washindi dhidi ya Azam aliyemnunua Fei Toto.
Wanafanya hivi ili kuwatisha wachezaji wao wazuri wasi jaribu kufikiri kuiacha timu yao kirahisi.
Walijaribu kuhakikisha wanamuua Fei Toto kwa namna yoyote ile lakini walishindwa.Fei Toto bado ni wa moto.

Hawa nyuma mwiko wanafanya uchawi sana wa siri na wa wazi.Wanao uwezo wa kuua kipaji cha mtu wakiamua kufanya hivyo na hasa mchezaji wanayetaka kumuua akiwa timu pinzani.

Kwa sasa wanatamani kipaji cha Chasambi kife ama akubali kucheza kwao.

Ninachokiona ni huyu kijana kusajiliwa na nyuma mwiko kwa bei ndogo kwa sababu wamefanikiwa kumtengenezea pressure ili asicheze vizuri akiwa Simba.Hii pressure Chasambi hataishinda labda awafunge wao nyuma mwiko zaidi hata ya mara moja.
Vinginevyo kama ilivyokuwa kwa Chama,alitengenezewa pressure kwa kusemwa kwamba ni mzee na wao hao hao yanga wakimwita kiungo kono kono,huku kwa mlango wa nyuma rais wao akimtafuta kwa siri na kumpongeza hasa anapocheza chini ya kiwango kwenye mechi muhimu za ligi,walifanikiwa kumwaminisha eti Simba hakuna wachezaji wa kumsaidia kufikia malengo yake.

Naamini na huyu kijana huenda walishamlisha sumu kama aliyopewa chama ya kuaminishwa kuwa huko Simba hakuna wachezaji wanaoweza kumfanya afikie ndoto zake.

Hicho wanachofanya yanga ni aina ya uchawi wa juu sana wa kisasa na wanao wale wazee wanafanya uchawi mweusi na hutawasikia wakisema kitu.

Ukisikia nyuma mwiko wanasema mashabiki wa simba ni mbumbumbu ni kwa sababu nyuma mwiko waki set agenda,mashabiki wetu bila kujua athari ya maneno yao,wanaingia kwenye mfumo na kusababisha timu kuchafuliwa sana.Mfano shabiki anasema tutatumia hata waamuzi kushinda mechi,yeye anafikiri anatania kumbe wenzake wanaichukua kama propaganda na itaiathiri timu tu.
Mfano mechi ya derby simba alinyimwa penalty tatu za wazi.Kisa ni kwa sababu kwenye ligi yetu hutakiwi kushinda kwa penalty.Hizi ni propaganda za nyuma mwiko na zimefanikiwa kuwaathiri hadi wachambuzi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Pambana na hali zenu makolo
Tuachie yanga yetu
 
Yanga
Naichukia sana ile timu ya kishirikina nyuma mwiko, wanachojua ni kucheza mpira nje ya uwanja, ni kitu kinachokera sana simba pamoja na ku-improve sana ktk ubora lkn kwetu kila mechi fainali, ubora wa simba umeimarika sana msimu huu, lkn kwann kila mechi kwetu ya ligi ni ngumu na chungu kama shubiri, timu ndogo zinacheze kwa kukamia sana gem zetu, wapo tayari wapaki bas simba akose sehem ata yakupiga hata penetration pasi, lkn wakicheza na nyuma mwiko vinaachia kirahisi sana vinashonwa magoli mengi, minaona kabisa nyuma mwiko kuna kitu nje ya uwanja wanafanya. Gem nyingi zimekua vita kwa simba lkn kwa nyuma mwiko wao kitonga tu, ila pw ipo siku watakoma tu mbwa hawa
Yanga ya gsm hakuna mechi inaingia hivi hivi ndugu yangu , sio unaona ndio ukweli..na wanacheza gem zote za kwetu utaskia mkuu wa mkoa kaahidi million.70 Simba ikifungwa..
Za kwao wanalegeza nut wachezaji wa upinzani..
Ubingwa wa ligi una mcost gsm pesa nyingi sana..
Na anafanya hivi yanga isije kukosa ubingwa mjadala ukahama gsm anainyonya tim kwenye mapato ya jezi ambako anaipiga nyuma mwiko pesa nyingi mnooo,kawasainisha mkataba wa kichif mangungo..Kwa kila jez ya iwe ya laki , elf hamsini au ishirini na tano nyuma mwiko wanapata mia tatu tu
 
Simba inapanga strategies za maendeleo na kuwa kisasa zaidi,wanakuwa wabunifu kwenye vitu mbalimbali,kufanya usajili na mengine, lakini Yanga ni timu iliyojaa waswahili wao wanaivuruga Simba ili wote muwe chini na wao waonekane bora
 
Simba kudroo mechi moja maneno yote haya mkifungwa itakuwaje?
 
Back
Top Bottom