Elections 2010 Kwa nini nimuite rais wakati sikushiriki kumchagua?

Elections 2010 Kwa nini nimuite rais wakati sikushiriki kumchagua?

kichenchele

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2010
Posts
539
Reaction score
176
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
 
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?

kwa sababu tu tumejiwekea utaratibu katika chaguzi kwamba atakayeshinda ndie ataitwa hivyo "RAiS, Mbunge,M'kiti,.....nk" na wengi wape!!!

Ingekuwaje kama ungetawaliwa na mfalme/malkia ambao ujirithisha tu!!???
 
Anayelala kwa mama ndiye baba! Kama unabisha, muulize mama. Sio wewe tu ambaye unakuwa haukumchagua. JK alichaguliwa na watu kama milioni 10 hivi. Watanzania tunakaribia milioni 40 sasa.
 
Wildcard, mimi kichenchele sikubaliani na wewe hata kidogo unaposema anayelala kwa mama ndiye baba, ninapata shida kutambuwa upeo wako na ufahamu juu ya kudadafua mambo mazito, unatoa light answers to very logical questions, ina maana hata wewe enzi unalala na mama yako ukiwa mdogo ulikuwa unasitahili kuitwa baba?
 
Umeshasema enzi nikiwa mdogo, nanyonya. Sasa hivi siwezi hata kufikiria kurudi kulala kule. Angalia pia na upande wa pili wa maelezo yangu bila jazba.
 
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
Kimsingi JK sio Rais wangu mimi coz sikumchagua,hata yeye mwenyewe analijua hilo na thats why hata akipigaga kampeni huwataka wana CCM wamchague na sio Wa Tanzania...so in practise kama hukumchagua sio RAIS wako...
Note..
ni Kura na sio Kula
 
Hamna jina lingine la kumuita hata kama hukumchagua..
So ni ngumu lakini hatuna jinsi ndie Rais..
 
Kimsingi JK sio Rais wangu mimi coz sikumchagua,hata yeye mwenyewe analijua hilo na thats why hata akipigaga kampeni huwataka wana CCM wamchague na sio Wa Tanzania...so in practise kama hukumchagua sio RAIS wako...
Note..
ni Kura na sio Kula

Ni Rais wa JMT. Rais wetu sote. Tuliomchagua, ambao mlichagua wengine na ambao hawakupiga kura kwa sababu moja au nyingine.
 
Kwa sababu
1)Alishinda uchaguzi kwa mujibu wa katiba:frusty:
2)Alikula kiapo kwa mujibu wa imani yake:A S 39:
 
kwa sababu tu tumejiwekea utaratibu katika chaguzi kwamba atakayeshinda ndie ataitwa hivyo "RAiS, Mbunge,M'kiti,.....nk" na wangi wape!!!

Ingekuwaje kama ungetawaliwa na mfalme/malkia ambao ujilisisha tu!!???
Hujirithisha:A S tongue:
 
Wildcard, mimi kichenchele sikubaliani na wewe hata kidogo unaposema anayelala kwa mama ndiye baba, ninapata shida kutambuwa upeo wako na ufahamu juu ya kudadafua mambo mazito, unatoa light answers to very logical questions, ina maana hata wewe enzi unalala na mama yako ukiwa mdogo ulikuwa unasitahili kuitwa baba?
Nadhani tatizo ni upeo wako. Yaani unataka kusema ulipokuwa mdogo ulikuwa "UNALALA" na mama yako!!!!!!!!!!??????????
 
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?

'Urais' ni cheo ambacho kinapatikana kwa kutimiza masharti na taratibu kadhaa za kikatiba na kisheria. 'Kupigiwa kura ya ndio na kila mwananchi/raia' sio sharti mojawapo la kuwa rais.
 
kwa sababu tu tumejiwekea utaratibu katika chaguzi kwamba atakayeshinda ndie ataitwa hivyo "RAiS, Mbunge,M'kiti,.....nk" na wengi wape!!!

Ingekuwaje kama ungetawaliwa na mfalme/malkia ambao ujirithisha tu!!???

Ungemwita vivyo hivyo!!!
 
Naomba usome katiba ya nchi! Kuna kiwango au asilimia ya kufikiwa ili kuwa rais.
 
Anayelala kwa mama ndiye baba! Kama unabisha, muulize mama. Sio wewe tu ambaye unakuwa haukumchagua. JK alichaguliwa na watu kama milioni 10 hivi. Watanzania tunakaribia milioni 40 sasa.

Si wote wenye vigezo vya kupiga kura, mfano umri chini ya miaka 18 hawapigi kura.
 
Utamwita rais kwa kuwa ndilo jina lake jipya na kazi yake mpya. Kwani watu unaowaita kwa majina yao ulishiriki kuwapa hayo majina? Rais ni wajibu, kazi madaraka/mamlaka juu ya watu, na vyote vinaambatana na heshima fulani
 
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?

A ROSE BY ANY OTHER NAME REMAINS JUST AS SWEET
Call him anything thing you want but he will still be your president[you will pay his salary and other emoulments and take care of his well being for the duration of his tenure

WASWAHILI WANASEMA 'WENGI WAPE' na "MKATAA WENGI MCHAWI'
 
Back
Top Bottom