kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
Kimsingi JK sio Rais wangu mimi coz sikumchagua,hata yeye mwenyewe analijua hilo na thats why hata akipigaga kampeni huwataka wana CCM wamchague na sio Wa Tanzania...so in practise kama hukumchagua sio RAIS wako...Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
Kimsingi JK sio Rais wangu mimi coz sikumchagua,hata yeye mwenyewe analijua hilo na thats why hata akipigaga kampeni huwataka wana CCM wamchague na sio Wa Tanzania...so in practise kama hukumchagua sio RAIS wako...
Note..
ni Kura na sio Kula
Hujirithisha:A S tongue:kwa sababu tu tumejiwekea utaratibu katika chaguzi kwamba atakayeshinda ndie ataitwa hivyo "RAiS, Mbunge,M'kiti,.....nk" na wangi wape!!!
Ingekuwaje kama ungetawaliwa na mfalme/malkia ambao ujilisisha tu!!???
Nadhani tatizo ni upeo wako. Yaani unataka kusema ulipokuwa mdogo ulikuwa "UNALALA" na mama yako!!!!!!!!!!??????????Wildcard, mimi kichenchele sikubaliani na wewe hata kidogo unaposema anayelala kwa mama ndiye baba, ninapata shida kutambuwa upeo wako na ufahamu juu ya kudadafua mambo mazito, unatoa light answers to very logical questions, ina maana hata wewe enzi unalala na mama yako ukiwa mdogo ulikuwa unasitahili kuitwa baba?
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?
kwa sababu tu tumejiwekea utaratibu katika chaguzi kwamba atakayeshinda ndie ataitwa hivyo "RAiS, Mbunge,M'kiti,.....nk" na wengi wape!!!
Ingekuwaje kama ungetawaliwa na mfalme/malkia ambao ujirithisha tu!!???
Anayelala kwa mama ndiye baba! Kama unabisha, muulize mama. Sio wewe tu ambaye unakuwa haukumchagua. JK alichaguliwa na watu kama milioni 10 hivi. Watanzania tunakaribia milioni 40 sasa.
Wanaa JF, hebu nifahamisheni, nitamuitaje mgombea urais kama atachaguliwa wakati mimi binafsi sikushiriki kumpa kula yangu?