.....kwa nini Nyerere peke yake alifanya?

.....kwa nini Nyerere peke yake alifanya?

fabinyo

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
3,042
Reaction score
2,221
kipindi hiko sikuwepo,wala sina maelezo ya kutosha ya kihistoria kwa nini siku ile ya muungano,mwalimu hayati nyerere alichanganya udongo wa tanganyika na zanzibari peke yake?hayati karume alikuwa wapi na kwanini hawakushirikiana katika uchanganyaji?naomba mnisaidie,kweli sifahamu chochoti juu ya hilo..
 
Naona kila mmoja hana jibu kwa hilo swali lako kwa miaka mitatu sasa.
 
Inakusaidia kuelewa kuwa huo Muungano wenyewe ni wa kulazimishana dhidi yao.

Na kwanini hotuba za huo ati Muungano mara zote huongea Nyerere pekee au mwenzie alikuwa hana
:-

1 : chakuongea
2 : hakujua kuongea
3 : kwa sababu ya ujanja ujanja wa Nyerere
 
Karume alikuwa zuzu shule ilikuwa hana mwalimu akamzidi ujanja
 
Back
Top Bottom