Kwa nini ofisi zote za ma-RPC na OCD mezani kuna kitabu cha Ilani ya CCM na hakuna PGO?

Kwa nini ofisi zote za ma-RPC na OCD mezani kuna kitabu cha Ilani ya CCM na hakuna PGO?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
 
CCM ndio serikali, na kwakua wao wanatumia Jeshi lapolisi kisiasa ,huku wakifumbia maovu ya Polisi.

Polisi nao inaamua kuendelea kiwatumikia CCM

Yaan ni mwendo wa "Nibebe, nikubebe".


Usishangae Man.
 
Itakuwa PGO ulikuwa huijui ndo maana hukuitilia maanani kama ipo, umeifahamu juzi kati hivyo utaanza kuiona pia.
 
... kwa kuwa sio kila askari ana elimu au weledi wa kutafsiri Katiba, sheria, na kanuni zinazowaongoza katika utendaji wao PGO imesadia kufanya hivyo (tafsiri). Badala ya kubeba kifaa cha kazi (PGO) wao wameamua kubeba umbea (Ilani ya Chama)!
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?


Polisi wengi hawajui kiingereza, PGO imeandikwa kiingereza na katiba ya CCM imeandikwa kiswahili, hiyo ni moja ya sababu za PGO kuwekwa kabatini.
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
sababu RPC na OCD
Hivyo ni vyeo vya utawala swali lako ni sawa na kwanin kwenye vyuo vikuu hakuna morning speech kama secondary wakat zote ni taasis za elimu
 
Umeingia ofisi nyingi za ma-RPC na ma OCD ukaona hizo ilani...na hapa unafanya majumuishi kuwa "ofisi zote" za ma-RPC na ma-RCO kuna hizo ilani...si sawa!
 
sababu RPC na OCD
Hivyo ni vyeo vya utawala swali lako ni sawa na kwanin kwenye vyuo vikuu hakuna morning speech kama secondary wakat zote ni taasis za elimu
Watawala si ndiyo wana wajibu wa kusimamia sheria na kanuni za utendaji kazi wa polisi?
 
Umeingia ofisi nyingi za ma-RPC na ma OCD ukaona hizo ilani...na hapa unafanya majumuishi kuwa "ofisi zote" za ma-RPC na ma-RCO kuna hizo ilani...si sawa!
Hilo ni jumuisho la utafiti!
 
Hilo ni jumuisho la utafiti!
Inawezekana..lakini kama hjaweka sample size yako ilikuwa ngapi (unajumlisha tu kwa kusema "ofisi nying" maana hata mbili ni uwingi), na ni asilimia ngapi ya ofisi zote bado unakuwa hujatenda haki kwenye majumuisho yako
 
Upumbavu mwingine bana.Sisi tutaamini vipi usemacho? Hamna picha,uongo wa hivi mwambie mama yako.
 
Kama hii
IMG_20210930_143228.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Hii ndiyo polisiccm! Kazi inaendelea.
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Kwani mkubwa wao amesahau walivyomweka madarakani?
 
Kwa kuwa ccm walishachukulia polisi kama kitengo chao cha kuulinda utawala wao basi polisi nao hawaoni umuhimu wa hiyo PGO ndio maana kwao ilani ya chama chao ni muhimu kuliko maadili ya kazi yao.
 
Wanaifaham ilani Sana kuliko PGO
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
 
Back
Top Bottom