Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.
Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
sababu RPC na OCDNimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.
Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
IGP amekalia kutetea ujinga badala ya kuomba Baraza la Kiswahili wamtafsirie, jinga kabisa!Polisi wengi hawajui kiingereza, PGO imeandikwa kiingereza na katiba ya CCM imeandikwa kiswahili, hiyo ni moja ya sababu za PGO kuwekwa kabatini.
Watawala si ndiyo wana wajibu wa kusimamia sheria na kanuni za utendaji kazi wa polisi?sababu RPC na OCD
Hivyo ni vyeo vya utawala swali lako ni sawa na kwanin kwenye vyuo vikuu hakuna morning speech kama secondary wakat zote ni taasis za elimu
Inawezekana..lakini kama hjaweka sample size yako ilikuwa ngapi (unajumlisha tu kwa kusema "ofisi nying" maana hata mbili ni uwingi), na ni asilimia ngapi ya ofisi zote bado unakuwa hujatenda haki kwenye majumuisho yakoHilo ni jumuisho la utafiti!
Hii ndiyo polisiccm! Kazi inaendelea.Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.
Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Kwani mkubwa wao amesahau walivyomweka madarakani?Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.
Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.
Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?