uNA HAKIKA NA USEMACHO?? tUMBO LAWEZA KUCHANWA POPOTE KUTEGEMEANA NA TATIZO[/QUOTE]ni kweli kabisa.
tafuta wataalamu wa maumbile(anatomy) watakufafanulia!Kwa jinsi ninavyofahamu, madaktari humfanyia upasuaji wa tumbo mgonjwa kwa kupasua chini kitovu.Kwa nini huwa gawapasui sehemu zingine za tumbo?Wataala please......