The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 459
Unaweza kupata shida kuona athari ya hili mpaka usafiri kidogo.
Ukimwambia mtu kwa mfano unapata Mshahara wa Mtz kwa mwezi wa Tsh milioni moja anashtuka kwa kuwa yeye huo ni mshahara wa mwaka.!
1 Usd=1700 Tsh
1 south African Rand =159
1 Usd = 10 South African Rand
1 Kenyan Shs = South African Rand.
Ukiwa unafanya manunuzi hasa nje ndio unagundua kiasi gani pesa yetu haina thamani.
Kwanini pesa yetu inashuka kila kukicha? kwani wao wanafanyaje kukuza thamani?
kwani sisi central bank yetu inafanya nini?
Wataalam pia naomba mnisaidie.
Ukimwambia mtu kwa mfano unapata Mshahara wa Mtz kwa mwezi wa Tsh milioni moja anashtuka kwa kuwa yeye huo ni mshahara wa mwaka.!
1 Usd=1700 Tsh
1 south African Rand =159
1 Usd = 10 South African Rand
1 Kenyan Shs = South African Rand.
Ukiwa unafanya manunuzi hasa nje ndio unagundua kiasi gani pesa yetu haina thamani.
Kwanini pesa yetu inashuka kila kukicha? kwani wao wanafanyaje kukuza thamani?
kwani sisi central bank yetu inafanya nini?
Wataalam pia naomba mnisaidie.