Nimefurahishwa na umati wa watu waliokusanyika for Dr Slaa kule mwanza kama ilivyorushwa na TBC nyomi ya kufa mtu,alafu imagine hayo watu hawajaletwa na magari ya kukodi je wangekodi magari ingekuwaje?
Nimefurahishwa na umati wa watu waliokusanyika for Dr Slaa kule mwanza kama ilivyorushwa na TBC nyomi ya kufa mtu,alafu imagine hayo watu hawajaletwa na magari ya kukodi je wangekodi magari ingekuwaje?
Uchunguzi niliufanya wekend hii, kwa Dar es salaam, Picha zikiwekwa kuna watu wameahidiwa pesa, akibandua picha ya mgombea Chadema na kuipeleka ofisi za ccm anapata Tshs 2,000/= hadi 5,000/= kutegemeana how strong are u in urguments!